mwendapole12
Member
- Apr 2, 2022
- 21
- 26
Wakuu habari zane nimeleta uzi huu mnifumbue macho kwa hili nisije kuingia mkenge,
Nataka kununua gari maana nimeendesha pikipiki kwa muda mrefu sasa imetosha bwana naomba.
Ninatazamia kununua gari IST au Vitz mkononi ila changamoto inayokuja nakosa amani na madalali kwani wao wengi unakuta tayari wana document ila la kipengele mawasiliano ya mmiliki wa kwenye kadi hawana.
Nami napata ofu nadhani mtu anaweza kuweka gari bondi akakopa mwisho wasiku akachelewa kulipa fari ikauzwa au mtu akachukua doc za nduguye akaamua kuuza.
Gari sasa nifanyeje ili niweze kununua gari kwa dalali maana magari ni mengi.
Je hayo magari yote yanayouzwa na mdarali wanaoenda kuyatumia wanafanyeje ikifika wakati wa kufanya transfer ofu ownership?
Nataka kununua gari maana nimeendesha pikipiki kwa muda mrefu sasa imetosha bwana naomba.
Ninatazamia kununua gari IST au Vitz mkononi ila changamoto inayokuja nakosa amani na madalali kwani wao wengi unakuta tayari wana document ila la kipengele mawasiliano ya mmiliki wa kwenye kadi hawana.
Nami napata ofu nadhani mtu anaweza kuweka gari bondi akakopa mwisho wasiku akachelewa kulipa fari ikauzwa au mtu akachukua doc za nduguye akaamua kuuza.
Gari sasa nifanyeje ili niweze kununua gari kwa dalali maana magari ni mengi.
Je hayo magari yote yanayouzwa na mdarali wanaoenda kuyatumia wanafanyeje ikifika wakati wa kufanya transfer ofu ownership?