Msaada: Nataka kununua Gari bovu la Serikali

DIFFENDA

Senior Member
Jun 23, 2013
109
38
Habari,

Kuna mnada wanauza gari zilizokufa za serikali namba SM na STG. Ninataka kujua taratibu za kubadili umiliki.

Je, hatua gani za kufuata? Na Je, Kuna ukweli Kuna uwezekano kulipia ushuru kama gari zikiingia bila ya ushuru?

Ahsanteni.
 
Habari,

Kuna mnada wanauza gari zilizokufa za serikali namba SM na STG. Ninataka kujua taratibu za kubadili umiliki.

Je, hatua gani za kufuata? Na Je, Kuna ukweli Kuna uwezekano kulipia ushuru kama gari zikiingia bila ya ushuru?

Ahsanteni.
Ushauri tafadhali
 
Zipo mkuu ila mpaka uwe na mtu hapo sana sana wanauziana wenyewe kwa wenyewe . Kuna minada inafanyika pale Hifadhi ya Ngorongoro jaribu kuchek nao mkuu
 
Back
Top Bottom