Kirumberumbe
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 982
- 1,187
Mkuu; Umenena kwa uhakika. Mi nimekuwa nafuga mbwa sasa ni zaidi ya miaka ishirini (for more than 20 yrs),lakini nakumbuka tukio moja la mimi kutoa ruhusa ya kumpiga risasi mbwa wangu mmoja tu (palikuwa na shida ya ukali- yaani mtu akitaka kuja kwangu sharti apige simu kuomba kibali, walevi waliihama njia inayopita karibu na hapa kwangu, wavushaji na wavushwaji walishaimark hiyo njia, nilishtakiwa mahakamani kwa madhara aliyowasababishia watu n.k. n.k.) na tukio hilo liko akilini mwangu hadi leo. Utaathirika kisaikolojia.Utakuwa umeanza kufuga hivi karibuni bila shaka'ukikaa na mbwa muda mrefu sana hatakaa uwaze kuwauwa wanakuwa sehemu ya familia.
