Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,173
- 190,755
Tunahangaika na connection, tunakosa connection ~ Baba JescaPoa mzee wa uchambuzi naona wameweka pin kule chini tunakosa koneksheni kabisa
Tunahangaika na connection, tunakosa connection ~ Baba JescaPoa mzee wa uchambuzi naona wameweka pin kule chini tunakosa koneksheni kabisa
Sinyanyuki niueni! Halalisha single mother kwa kauli mbiu simwachi niueni.Nimeshamfanyia visa vya kila aina ili anichoke lkn naona ameniganda tu. Haniombi ela na hana usumbufu wa kijinga, ananipa uhuru ninaoutaka.
Anajiheshimu na ananiheshimu na kwenye uwanja wa futi sita yuko vizuri ile mbaya, anajua kuifinyia kwa ndani
Nina miaka miwili naishi nae lkn sijawahi kwenda hata kujitambulisha kwao. Tulianza maisha ya kulala ktk kigetto tu chenye kagodoro tunatandika chini mpaka sasa tumepanga upande mzima wa mjengo na kuna kiwanja amenihimiza nikinunue tuanze ujenzi..
Kasoro pekee ni single mother, mtoto wake yupo analelewa na bibi wa upande wa baba. Msela aliyemzalisha hana mishe ya kueleweka anapiga debe stendi, ni dizaini ya wale wana wanaovaa majinzi ya kuchanika chanika na kunyoa viduku. Anadai walishaachana..
Wazoefu mliooa single mothers njooni mnipe muongozo..
Dunia yetu imefungwa, tunazurura kwenye dunia ya wenzetuPoa mzee wa uchambuzi naona wameweka pin kule chini tunakosa koneksheni kabisa
Inawezekana kutokana na uzoefu wa maisha amejifunza umuhimu na nafasi ya Mwanaume kwenye maisha yake, au ameumbwa na Tabia Nzuri tu, ndio maana anakuheshimu, mchukue ila umwonyeshe kumjali wakati ukiwa na nafasi.Nimeshamfanyia visa vya kila aina ili anichoke lkn naona ameniganda tu. Haniombi ela na hana usumbufu wa kijinga, ananipa uhuru ninaoutaka.
Anajiheshimu na ananiheshimu na kwenye uwanja wa futi sita yuko vizuri ile mbaya, anajua kuifinyia kwa ndani
Nina miaka miwili naishi nae lkn sijawahi kwenda hata kujitambulisha kwao. Tulianza maisha ya kulala ktk kigetto tu chenye kagodoro tunatandika chini mpaka sasa tumepanga upande mzima wa mjengo na kuna kiwanja amenihimiza nikinunue tuanze ujenzi..
Kasoro pekee ni single mother, mtoto wake yupo analelewa na bibi wa upande wa baba. Msela aliyemzalisha hana mishe ya kueleweka anapiga debe stendi, ni dizaini ya wale wana wanaovaa majinzi ya kuchanika chanika na kunyoa viduku. Anadai walishaachana..
Wazoefu mliooa single mothers njooni mnipe muongozo..
Adui wa mwanamke ni mwanamke...inawezekana maana na wao ni wanawake so wanaelewa vizuri
Hili sio swala kucheka ni la kusikitika mkuu
Kwani baba Daimond alio single mother?
Tunahangaika na connection, tunakosa connection ~ Baba Jesca



hakuna koneksheni.Fanya unaloona ni sahihi.Nimeshamfanyia visa vya kila aina ili anichoke lkn naona ameniganda tu. Haniombi ela na hana usumbufu wa kijinga, ananipa uhuru ninaoutaka.
Anajiheshimu na ananiheshimu na kwenye uwanja wa futi sita yuko vizuri ile mbaya, anajua kuifinyia kwa ndani
Nina miaka miwili naishi nae lkn sijawahi kwenda hata kujitambulisha kwao. Tulianza maisha ya kulala ktk kigetto tu chenye kagodoro tunatandika chini mpaka sasa tumepanga upande mzima wa mjengo na kuna kiwanja amenihimiza nikinunue tuanze ujenzi..
Kasoro pekee ni single mother, mtoto wake yupo analelewa na bibi wa upande wa baba. Msela aliyemzalisha hana mishe ya kueleweka anapiga debe stendi, ni dizaini ya wale wana wanaovaa majinzi ya kuchanika chanika na kunyoa viduku. Anadai walishaachana..
Wazoefu mliooa single mothers njooni mnipe muongozo..
Ncha Kali ahaaPunguza hasira, utaolewa tu japo kwa mbinde.
Sio dhambi mkuu...nimeuliza kwa upendo tu.yess, kwani dhambi?
Kwani ambao hawajazaa hawapashi viporo na ma ex wao?Shida akija mpeleka mtoto kwa baba ake kiporo kitapashwa tu na mateso yataanza
Kamuulize Rikardo Momo Mama Diamond alikuwa single Mama auKwani baba Daimond alio single mother?
Mkuu;Jamaa aliezaa nae yupo tu kitaa anapumua vizuri tu