Kayaula Musa
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 694
- 719
Kwamabinti wengi wamiaka hii bora hata sigle mazaYeyote utakaeoa mateso yapo mbele, so kama huyu walau ana vigezo vingine hasa akili ya maisha, mi nadhani jamaa aoe tu. Unaeza oa ambae sio singo maza lakini ni kicheche hatari na akili ya maisha hana.