Nataka kumuoa huyu single mother

Nataka kumuoa huyu single mother

Sio Single mothers wote ni pasua kichwa fanya ibada tu
Binafsi nimesha date na masingo maza kama watatu wanne na sifa zao kuu ni:
1. Wakishakupenda hua hawasumbui kabisa kutoa tunda, tofauti na hivi vibinti vya chuo mpaka ubembeleeeeeze..! Kwa singo maza ni wewe mwenyewe uchoke.
2. Wanajielewa, wanazijua shida na mara nyingi hua ni watafutaji
3. Hata akikuomba hela, anaenda kufanyia kitu cha maana sio kununua iphone au wigi. Ukimuambia leo sina anakuelewa
4. Wana heshima
 
Binafsi nimesha date na masingo maza kama watatu wanne na sifa zao kuu ni:
1. Wakishakupenda hua hawasumbui kabisa kutoa tunda, tofauti na hivi vibinti vya chuo mpaka ubembeleeeeeze..! Kwa singo maza ni wewe mwenyewe uchoke.
2. Wanajielewa, wanazijua shida na mara nyingi hua ni watafutaji
3. Hata akikuomba hela, anaenda kufanyia kitu cha maana sio kununua iphone au wigi. Ukimuambia leo sina anakuelewa
4. Wana heshima
Nimeoa single mama. Niko nae kwenye ndoa miaka 15 sasa. Nakiri wana mapungufu linapofika suala la kumwadhibu mwanae.

Lakini analea watoto wangu kwa upendo hadi ndugu na jamaa zangu wamekubali. Kama amewahi kunisaliti basi ni kwa siri kupitiliza.

Kwa ujumla tunapendana, sijawahi kujuta juu yake.

Si kila single mum ni pasua kichwa.
 
Sio kuliwazwa tu ila jamaa anasubiriwa kwenye angle ambayo akishakamilisha zoezi zima la kuoa ndio ataelewa maana "oo..namfanyia visa hafanyi chochote"
😂😂😂Mara ooh nampeleka mtoto kwa baba ake!
 
Pamoja na yote JOKAJEUSI alishatutahadharisha hakikisha kaburi la mzazi mwenzie umeliona

Kama yu hai acha acha acha acha

UTAKUJA JUTA BAADAE BI MDASHI MWENYEWE ANA WASIWASI
 
Nilipata mmoja hapa juzi Kati alikuwa ananipenda balaaa

Nilimfungia safari huko mkoani anakoishi nikaaa siku tatu kwake napikiwa nafulia na mzigo napewa aisee nilijiona mfalme

Ila wakati wote napngea nae alinificha kuwa Hana mtoto
Nikasema.mke so huyu Sasa

Siku niliyoenda kwake nikakuta picha ya mtoto kaitundika geto nikahamaki kumuuliza akadai wa kwake nikakataa

Akatoa Albamu akanionesha alivyokuwa mjamzito

Nikanywea Sana na stimu zikanikata nikatamani hizo siku ziishe nisepe nilipanga nifike nae mbali Ila kuia single mazaz aisee no stress sizitaki aisee
 
Nimeshamfanyia visa vya kila aina ili anichoke lkn naona ameniganda tu. Haniombi ela na hana usumbufu wa kijinga, ananipa uhuru ninaoutaka.

Anajiheshimu na ananiheshimu na kwenye uwanja wa futi sita yuko vizuri ile mbaya, anajua kuifinyia kwa ndani

Nina miaka miwili naishi nae lkn sijawahi kwenda hata kujitambulisha kwao. Tulianza maisha ya kulala ktk kigetto tu chenye kagodoro tunatandika chini mpaka sasa tumepanga upande mzima wa mjengo na kuna kiwanja amenihimiza nikinunue tuanze ujenzi..

Kasoro pekee ni single mother, mtoto wake yupo analelewa na bibi wa upande wa baba. Msela aliyemzalisha hana mishe ya kueleweka anapiga debe stendi, ni dizaini ya wale wana wanaovaa majinzi ya kuchanika chanika na kunyoa viduku. Anadai walishaachana..

Wazoefu mliooa single mothers njooni mnipe muongozo..
Na yule binti yake mkubwa unamjua? anyway she is very beautiful muoe tu
 
Nilipata mmoja hapa juzi Kati alikuwa ananipenda balaaa

Nilimfungia safari huko mkoani anakoishi nikaaa siku tatu kwake napikiwa nafulia na mzigo napewa aisee nilijiona mfalme

Ila wakati wote napngea nae alinificha kuwa Hana mtoto
Nikasema.mke so huyu Sasa

Siku niliyoenda kwake nikakuta picha ya mtoto kaitundika geto nikahamaki kumuuliza akadai wa kwake nikakataa

Akatoa Albamu akanionesha alivyokuwa mjamzito

Nikanywea Sana na stimu zikanikata nikatamani hizo siku ziishe nisepe nilipanga nifike nae mbali Ila kuia single mazaz aisee no stress sizitaki aisee
uspende sana mteremko dingiii
 
Nimeshamfanyia visa vya kila aina ili anichoke lkn naona ameniganda tu. Haniombi ela na hana usumbufu wa kijinga, ananipa uhuru ninaoutaka.

Anajiheshimu na ananiheshimu na kwenye uwanja wa futi sita yuko vizuri ile mbaya, anajua kuifinyia kwa ndani

Nina miaka miwili naishi nae lkn sijawahi kwenda hata kujitambulisha kwao. Tulianza maisha ya kulala ktk kigetto tu chenye kagodoro tunatandika chini mpaka sasa tumepanga upande mzima wa mjengo na kuna kiwanja amenihimiza nikinunue tuanze ujenzi..

Kasoro pekee ni single mother, mtoto wake yupo analelewa na bibi wa upande wa baba. Msela aliyemzalisha hana mishe ya kueleweka anapiga debe stendi, ni dizaini ya wale wana wanaovaa majinzi ya kuchanika chanika na kunyoa viduku. Anadai walishaachana..

Wazoefu mliooa single mothers njooni mnipe muongozo..
Tuseme Mara ngapi kuhusu single mother??
Nimeshamfanyia visa vya kila aina ili anichoke lkn naona ameniganda tu. Haniombi ela na hana usumbufu wa kijinga, ananipa uhuru ninaoutaka.

Anajiheshimu na ananiheshimu na kwenye uwanja wa futi sita yuko vizuri ile mbaya, anajua kuifinyia kwa ndani

Nina miaka miwili naishi nae lkn sijawahi kwenda hata kujitambulisha kwao. Tulianza maisha ya kulala ktk kigetto tu chenye kagodoro tunatandika chini mpaka sasa tumepanga upande mzima wa mjengo na kuna kiwanja amenihimiza nikinunue tuanze ujenzi..

Kasoro pekee ni single mother, mtoto wake yupo analelewa na bibi wa upande wa baba. Msela aliyemzalisha hana mishe ya kueleweka anapiga debe stendi, ni dizaini ya wale wana wanaovaa majinzi ya kuchanika chanika na kunyoa viduku. Anadai walishaachana..

Wazoefu mliooa single mothers njooni mnipe muongozo..
Tuseme Mara ngapi kuhusu single mother??
Joka jeusi ebu njoo umwambie kwa Mara ya mwisho
 
Ukiona mtu ana ona kasoro KWA single mother jua tatzo sio single mother tatzo ni CHUKI humpendi mtoto uliyemkuta.

Kumchukia single mother ni kumchukia mtoto uliyemkuta nae ni sawa na mama wa kambo kumchukia mtoto wa mwanaume aliyeolewa akamkuta

Acha roho mbaya wewe baba wa kambo(mama wa kambo) SIONI TOFAUTI KATI YA SINGLE MOTHER NA BINTI ULIYEMUOA LAKINI KATOA MIMBA SITA YAAN BORA SINGLE MOTHER
 
Back
Top Bottom