Mkuu..nawe ni single maza?Kwani wangapi wameoa hao single mama na maisha yameendelea kuwa safi?
Huu ujinga wanaume (wewe mtoa mada) mtauacha lini?
yess, kwani dhambi?Mkuu..nawe ni single maza?
Nimeshamfanyia visa vya kila aina ili anichoke lkn naona ameniganda tu. Haniombi ela na hana usumbufu wa kijinga, ananipa uhuru ninaoutaka.
Anajiheshimu na ananiheshimu na kwenye uwanja wa futi sita yuko vizuri ile mbaya, anajua kuifinyia kwa ndani
Nina miaka miwili naishi nae lkn sijawahi kwenda hata kujitambulisha kwao. Tulianza maisha ya kulala ktk kigetto tu chenye kagodoro tunatandika chini mpaka sasa tumepanga upande mzima wa mjengo na kuna kiwanja amenihimiza nikinunue tuanze ujenzi..
Kasoro pekee ni single mother, mtoto wake yupo analelewa na bibi wa upande wa baba. Msela aliyemzalisha hana mishe ya kueleweka anapiga debe stendi, ni dizaini ya wale wana wanaovaa majinzi ya kuchanika chanika na kunyoa viduku. Anadai walishaachana..
Wazoefu mliooa single mothers njooni mnipe muongozo..
Yeyote utakaeoa mateso yapo mbele, so kama huyu walau ana vigezo vingine hasa akili ya maisha, mi nadhani jamaa aoe tu. Unaeza oa ambae sio singo maza lakini ni kicheche hatari na akili ya maisha hana.Kwa Mimi jibu langu bado ni no
Usioe single mother
Mateso yapo mbele
Huyo ndio mtu pekee wa kumsikiliza..Sielewi mkuu.. Nilimshirikisha maza naona kama hana imani vile
Ushakaa nae...
Ushafanya nae mambo mengi... unakuja kuomba ushauri wa nini...
Kama unaoa wewe oa bila kukumbuka...
Subiri huyo bwana ake unae muita wa stand apate pesa ndio utajua hujui
Nilikuwa sijalisoma jina lake nimecheka kwa sauti, mangi hanyanyuki na kwa msimamo wa huyu jamaa single mother ataisoma namba.Nje ya mada: Hilo jina lako limenifanya nicheke kwa nguvu sana nikakumbuka ile video😂😂😂😂