Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,400
- 29,344
fresh mzee...watoto wazima?
Ngoja kwanza Mzee, nitarudi...


fresh mzee...watoto wazima?


Love u tooLinda I love you
Safi sana nimependa umejibu iliyo kweliHakika wanaume tunapenda sex, inaleta utulivu wa nafsi.
Ila lazima uweze kuji-control kikamilifu.
Hatujazaa mkuu, alikua anatumia vidonge akaacha, nadhani ni mambo ya hormonal imbalanceMpaka umekuja kuuliza, maana yake una doubts nae, huna uhakika.
Sema umempotezea muda, ila jua ukioa chochote kitakachotokea huko alikozalishwa, kama misiba hivi ataenda for the sake of kid, atalala wewe utabaki home ukimsubiri.
And then hiyo miaka miwili amjazaa tu?
Kuna jamaa yangu kaoa single mama, sasa ikitokea misiba kule ukweni kwa zamani, inabidi ampeleke mtoto, atalala huko atakutana na mzazi mwenzie.Hatujazaa mkuu, alikua anatumia vidonge akaacha, nadhani ni mambo ya hormonal imbalance
How ?😁jiongeze PM sasa
bado ajaja ?How ?😁
Muowe ili unyanyukeNimeshamfanyia visa vya kila aina ili anichoke lkn naona ameniganda tu. Haniombi ela na hana usumbufu wa kijinga, ananipa uhuru ninaoutaka.
Anajiheshimu na ananiheshimu na kwenye uwanja wa futi sita yuko vizuri ile mbaya, anajua kuifinyia kwa ndani
Nina miaka miwili naishi nae lkn sijawahi kwenda hata kujitambulisha kwao. Tulianza maisha ya kulala ktk kigetto tu chenye kagodoro tunatandika chini mpaka sasa tumepanga upande mzima wa mjengo na kuna kiwanja amenihimiza nikinunue tuanze ujenzi..
Kasoro pekee ni single mother, mtoto wake yupo analelewa na bibi wa upande wa baba. Msela aliyemzalisha hana mishe ya kueleweka anapiga debe stendi, ni dizaini ya wale wana wanaovaa majinzi ya kuchanika chanika na kunyoa viduku. Anadai walishaachana..
Wazoefu mliooa single mothers njooni mnipe muongozo..
Ile miguno mnayotoaga tells it all..mnaenjoy zaidi nyie.Ila wanaume naona kama mnaenjoy sex sana kuliko sisi au nasema uongo wadau? Hii ni nje ya mada
Inaweza pia ikawa fake au maumivuIle miguno mnayotoaga tells it all..mnaenjoy zaidi nyie.
Maumivu??..maumivu gani huku unanikumbatia kwa nguvu?..Inaweza pia ikawa fake au maumivu
Nje ya mada: Hilo jina lako limenifanya nicheke kwa nguvu sana nikakumbuka ile video![]()



sijui alifikiria vipi kulitumia hili jinaSawa mkuu tafuta kabinti kadogo ila vinachangamoto nyingi wengi hawajui maisha yanaendaje mwambie tu kilichokukwaza mkuu usiondoke kimyakimya pia nivema ukawa nauhakika wahicho unahofia isije kuwa watu wanasemaNilipata mmoja hapa juzi Kati alikuwa ananipenda balaaa
Nilimfungia safari huko mkoani anakoishi nikaaa siku tatu kwake napikiwa nafulia na mzigo napewa aisee nilijiona mfalme
Ila wakati wote napngea nae alinificha kuwa Hana mtoto
Nikasema.mke so huyu Sasa
Siku niliyoenda kwake nikakuta picha ya mtoto kaitundika getonikahamaki kumuuliza akadai wa kwake nikakataa
Akatoa Albamu akanionesha alivyokuwa mjamzito
Nikanywea Sana na stimu zikanikata nikatamani hizo siku ziishe nisepe nilipanga nifike nae mbali Ila kuia single mazaz aisee no stress sizitaki aisee![]()
Baadhi yao wamelelewa na mama waaina hiyoUkiona mtu ana ona kasoro KWA single mother jua tatzo sio single mother tatzo ni CHUKI humpendi mtoto uliyemkuta.
Kumchukia single mother ni kumchukia mtoto uliyemkuta nae ni sawa na mama wa kambo kumchukia mtoto wa mwanaume aliyeolewa akamkuta
Acha roho mbaya wewe baba wa kambo(mama wa kambo) SIONI TOFAUTI KATI YA SINGLE MOTHER NA BINTI ULIYEMUOA LAKINI KATOA MIMBA SITA YAAN BORA SINGLE MOTHER