Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 10,100
- 8,213
Funga naye ndoa maisha yaendelee.
Aisee!Jamaa aliezaa nae yupo tu kitaa anapumua vizuri tu
We muoe tu hawez kuludiana na mzaz mwenzake maana mzaz mwenzake kasha toka kwe njiaNimeshamfanyia visa vya kila aina ili anichoke lkn naona ameniganda tu. Haniombi ela na hana usumbufu wa kijinga, ananipa uhuru ninaoutaka.
Anajiheshimu na ananiheshimu na kwenye uwanja wa futi sita yuko vizuri ile mbaya, anajua kuifinyia kwa ndani
Nina miaka miwili naishi nae lkn sijawahi kwenda hata kujitambulisha kwao. Tulianza maisha ya kulala ktk kigetto tu chenye kagodoro tunatandika chini mpaka sasa tumepanga upande mzima wa mjengo na kuna kiwanja amenihimiza nikinunue tuanze ujenzi..
Kasoro pekee ni single mother, mtoto wake yupo analelewa na bibi wa upande wa baba. Msela aliyemzalisha hana mishe ya kueleweka anapiga debe stendi, ni dizaini ya wale wana wanaovaa majinzi ya kuchanika chanika na kunyoa viduku. Anadai walishaachana..
Wazoefu mliooa single mothers njooni mnipe muongozo..
inawezekana maana na wao ni wanawake so wanaelewa vizuriHakuna bi mkubwa anayependa kijana wake aoe single mother. Nafikiri wanajua nini kinaweza kutokea mbeleni ndio maana wanapinga
vipi yamewahi kukutokea nini?Kwa Mimi jibu langu bado ni no
Usioe single mother
Mateso yapo mbele
hata single mother inawezekana alitoa mimbaUkiona mtu ana ona kasoro KWA single mother jua tatzo sio single mother tatzo ni CHUKI humpendi mtoto uliyemkuta.
Kumchukia single mother ni kumchukia mtoto uliyemkuta nae ni sawa na mama wa kambo kumchukia mtoto wa mwanaume aliyeolewa akamkuta
Acha roho mbaya wewe baba wa kambo(mama wa kambo) SIONI TOFAUTI KATI YA SINGLE MOTHER NA BINTI ULIYEMUOA LAKINI KATOA MIMBA SITA YAAN BORA SINGLE MOTHER
usikimbie mzeeNilipata mmoja hapa juzi Kati alikuwa ananipenda balaaa
Nilimfungia safari huko mkoani anakoishi nikaaa siku tatu kwake napikiwa nafulia na mzigo napewa aisee nilijiona mfalme
Ila wakati wote napngea nae alinificha kuwa Hana mtoto
Nikasema.mke so huyu Sasa
Siku niliyoenda kwake nikakuta picha ya mtoto kaitundika getonikahamaki kumuuliza akadai wa kwake nikakataa
Akatoa Albamu akanionesha alivyokuwa mjamzito
Nikanywea Sana na stimu zikanikata nikatamani hizo siku ziishe nisepe nilipanga nifike nae mbali Ila kuia single mazaz aisee no stress sizitaki aisee![]()




Naunga mkono hoja,,, tunao mama wa marehemu wengi mno 😁😁😁Nilishawahi kusema humu, na narudia:
Baadhi ya single mothers ni wasichana waliofanya makosa wangali wadogo, wakajikuta wamebeba mimba. Wengi wao utakuta pengine ilikua mara yao ya kwanza ku sex, pengine walidanganywa au hata kushikwa kwa nguvu wakajikuta wameshaachia mzigo na kitu kikanasa.
Kutokana na ugeni wao, wengi huogopa kutoa hizo mimba na kuvumilia kebehi, vipigo, vitisho nk kutoka kwa wazazi.
Kuna mabinti ambao leo hii sio ma singo maza kwasababu tu kila mimba inaponasa wanaichoropoa fasta, au wameshameza P2 ndoo mbili!
Hujakosea kabisa, ila miongoni mwao wapo wapuuzi wasiojielewa.Binafsi nimesha date na masingo maza kama watatu wanne na sifa zao kuu ni:
1. Wakishakupenda hua hawasumbui kabisa kutoa tunda, tofauti na hivi vibinti vya chuo mpaka ubembeleeeeeze..! Kwa singo maza ni wewe mwenyewe uchoke.
2. Wanajielewa, wanazijua shida na mara nyingi hua ni watafutaji
3. Hata akikuomba hela, anaenda kufanyia kitu cha maana sio kununua iphone au wigi. Ukimuambia leo sina anakuelewa
4. Wana heshima
Mkuu shemela hajambo lakini 😂,,, mambo ya Carbon Copy adimu sana sikuhizi vipi mshua, au ndio kunguru hafugiki!?Ushakaa nae...
Ushafanya nae mambo mengi... unakuja kuomba ushauri wa nini...
Kama unaoa wewe oa bila kukumbuka...
Washatemana hao hakuna Cha carbon copy TenaMkuu shemela hajambo lakini,,, mambo ya Carbon Copy adimu sana sikuhizi vipi mshua, au ndio kunguru hafugiki!?








Uzuri jamaa ameshakaa nae na akaona huyu sio mmoja wapo wa wale wapuuzi, sasa sijui anataka nini tena?Hujakosea kabisa, ila miongoni mwao wapo wapuuzi wasiojielewa.
Kilichokudatisha ni uzoefu wake wa kufinyia kwa ndani, keyword ni 'uzoefu' usitake kujua kaupata wapi.... mimi kwa singo maza Sinyanyuki Niueni tu.







ncha kali
Mi naona aoe tu bana, mwanamke mzuri ni yule anaekupa moyo wa kupambana na amani ya nafsi! Sio yale masheitwani yanayopenda kelele na usumbufu😁 halafu hayana adabu.Uzuri jamaa ameshakaa nae na akaona huyu sio mmoja wapo wa wale wapuuzi, sasa sijui anataka nini tena?
Vita mbele au sioKwa Mimi jibu langu bado ni no
Usioe single mother
Mateso yapo mbele
Mapensiii mabaya...mapens mabayaa 😂😂😂Washatemana hao hakuna Cha carbon copy Tena
Kila Zama na kitabu chake
Cc.mahondaw![]()
Usisahau na papuchi jamaa anapewa kila akitaka!Mi naona aoe tu bana, mwanamke mzuri ni yule anaekupa moyo wa kupambana na amani ya nafsi! Sio yale masheitwani yanayopenda kelele na usumbufu😁 halafu hayana adabu.