Love bug
JF-Expert Member
- Jun 13, 2013
- 219
- 215
Nacheka kama mazuriHili sio swala kucheka ni la kusikitika mkuu
Nacheka kama mazuriHili sio swala kucheka ni la kusikitika mkuu
Mke wa mwamba, sio mbaya kumshikiaNimeshamfanyia visa vya kila aina ili anichoke lkn naona ameniganda tu. Haniombi ela na hana usumbufu wa kijinga, ananipa uhuru ninaoutaka.
Anajiheshimu na ananiheshimu na kwenye uwanja wa futi sita yuko vizuri ile mbaya, anajua kuifinyia kwa ndani
Nina miaka miwili naishi nae lkn sijawahi kwenda hata kujitambulisha kwao. Tulianza maisha ya kulala ktk kigetto tu chenye kagodoro tunatandika chini mpaka sasa tumepanga upande mzima wa mjengo na kuna kiwanja amenihimiza nikinunue tuanze ujenzi..
Kasoro pekee ni single mother, mtoto wake yupo analelewa na bibi wa upande wa baba. Msela aliyemzalisha hana mishe ya kueleweka anapiga debe stendi, ni dizaini ya wale wana wanaovaa majinzi ya kuchanika chanika na kunyoa viduku. Anadai walishaachana..
Wazoefu mliooa single mothers njooni mnipe muongozo..
X vs single mother OK ajazaa sawa ata akipasha ni tofaut na hii unajua baba mtoto yupo na muda ukifka mvurugano utaskia nampeleka mtoto kwa bab ake akamuone ndio shida vuta picha kitaongeleka nini uko, kitafanyik nin ujui then ona maumivu yakeKwani ambao hawajazaa hawapashi viporo na ma ex wao?
Hizi ni fikra za hovyo. Muhimu hapa ni kuwekeana misingi na mipaka tu. Hakunaga formula linapokuja suala la mapenzi.X vs single mother OK ajazaa sawa ata akipasha ni tofaut na hii unajua baba mtoto yupo na muda ukifka mvurugano utaskia nampeleka mtoto kwa bab ake akamuone ndio shida vuta picha kitaongeleka nini uko, kitafanyik nin ujui then ona maumivu yake
X ajazaa ana ma X uji skia naenda muona x wa zamani zaidi kimya kimya watakutana uko basi lakini hii ya kumpeleka mtoto kwa baba na unajua ahaaaa mtu anavurugwa uko uko sometimes baba mtoto anapga sim free muda wowote anaotaka inaumiza unafanyeje na sababu ana mtoto wake
Mkigombana safar ya kumpeleka mtoto kwa baba inaanza ili uhumie anajua utahis kitu flani kinaenda fanyika.
Mateso kuyazoea ukiyazoea kawaida ila ya mapenz.....thread zipo humuHizi ni fikra za hovyo. Muhimu hapa ni kuwekeana misingi na mipaka tu. Hakunaga formula linapokuja suala la mapenzi.
Ila wanaume naona kama mnaenjoy sex sana kuliko sisi au nasema uongo wadau? Hii ni nje ya mada



khaaaaahsasa hapo umeamua kuchukua shuhuda hasi na kisha kugeneralize. Unachomaanisha hapa hakuna single mothers waliodumu na kuwa ndoa zenye mafanikio?Mateso kuyazoea ukiyazoea kawaida ila ya mapenz.....thread zipo humu
Shuhuda+++sasa hapo umeamua kuchukua shuhuda hasi na kisha kugeneralize. Unachomaanisha hapa hakuna single mothers waliodumu na kuwa ndoa zenye mafanikio?
Linda I love youFikra na mtazamo wako ni duni u guy..
jiongeze PM sasaLinda I love you
Hakika wanaume tunapenda sex, inaleta utulivu wa nafsi.Ila wanaume naona kama mnaenjoy sex sana kuliko sisi au nasema uongo wadau? Hii ni nje ya mada
video gani??? weka linkNje ya mada: Hilo jina lako limenifanya nicheke kwa nguvu sana nikakumbuka ile video![]()


video gani??? weka link![]()
fresh mzee...watoto wazima?Vipi we jamaa!