Nataka kumuacha ila nampenda

Nataka kumuacha ila nampenda

Jack da great

Member
Joined
May 10, 2013
Posts
36
Reaction score
4
Mimi nipo Chuo kikuu mwaka wa tatu kuna msichana nilikuwa nataka kupiga na kusepa.

Ila nkakuta ana mambo adimu nikawa nimenasa kwake nikashindwa kutoka Ofcause ni mzuri na anatabia nzuri ananipenda ila kaishia Darasa la saba nataka kumwacha ila kuna roho haitaki.

Pia yeye alitaka kujiua nlipo mwambia kuhusu hilo na yeye kaniganda so nifanyeje maana roho ya huruma inanijia ninapotaka kumwacha.
 
elimu ya siku hizi ni kijinga kijinga tu!! haina faida yoyote kwa wanainchi, na wanaofaidika ni kundi ndogo la watu lakn jamii kubwa inaumia.

wewe ni mjinga sana kwa hiyo unataka kumuacha kwa sababu ya elimu.???


shataaapu. nyokooo
 
hivi hili suala la kujiua lipoje eti Jipu
 
Last edited by a moderator:
elimu ya siku hizi ni kijinga kijinga tu!! haina faida yoyote kwa wanainchi, na wanaofaidika ni kundi ndogo la watu lakn jamii kubwa inaumia.

wewe ni mjinga sana kwa hiyo unataka kumuacha kwa sababu ya elimu.???


shataaapu. nyokooo

nyokoooooo kabisa
 
ukikosa mkopo unakuwa na mawazo ya ajabu ajabu tu,hata unafikia hatua ya kuyaandika
 
Mimi nipo Chuo kikuu mwaka wa tatu kuna msichana nilikuwa nataka kupiga na kusepa.

Ila nkakuta ana mambo adimu nikawa nimenasa kwake nikashindwa kutoka Ofcause ni mzuri na anatabia nzuri ananipenda ila kaishia Darasa la saba nataka kumwacha ila kuna roho haitaki.

Pia yeye alitaka kujiua nlipo mwambia kuhusu hilo na yeye kaniganda so nifanyeje maana roho ya huruma inanijia ninapotaka kumwacha.

Hebu kajifunze kwanza kuandika kiswahili ndo urudi hapa,mwaka wa tatu chuo hujui kuandika kiswahili kinachoeleweka unaendekeza mapenzi tu
 
Hommie ukitaka mwanamke mwenye Elimu utakesha koz wa chuo wote wana watu wao either chuo ama home..? Mke mwema ni Heshima na kukujali wewe na kila ulichonacho ukijumuisha na family.?soo kama unataka Mke i think she is material but slap&sleep then move on tuu
 
Mimi nipo Chuo kikuu mwaka wa tatu kuna msichana nilikuwa nataka kupiga na kusepa.

Ila nkakuta ana mambo adimu nikawa nimenasa kwake nikashindwa kutoka Ofcause ni mzuri na anatabia nzuri ananipenda ila kaishia Darasa la saba nataka kumwacha ila kuna roho haitaki.

Pia yeye alitaka kujiua nlipo mwambia kuhusu hilo na yeye kaniganda so nifanyeje maana roho ya huruma inanijia ninapotaka kumwacha.
Nawe subiri kupigwa na kusepwa. Kama mwangwi urudivyo ndivyo malipo ya dhuluma tuwatendezo wenzetu yanavyorudi. Tafakari chukua hatua bado mapema.
 
Mimi nadhani mtoa mada labda unasoma taasisi ya elimu ya juu na siyo chuo kikuu.
 
Yani wewe ni ---- sana!!! unamwacha kisa darasa la saba?!! Ungekuwa unamhitaji ungemsaidia kuongeza masomo yake.Mfyuuu.....NO SENSE!!
 
chukua wa chuo mwenzio mpishane we unarudi ye anatoka...... ndo uone raha
 
Wewe unaowa mke au kisomo chake, kama unamthamini....fanya mpango wa kumrudisha shule atoe ujinga.
 
utamkumbuka uyo binti kama unampenda kweli kwa nin usifikirie kumuendeleza kielimu wewe unawaza kumuacha ni mwanaume mwenye mawazo duni sana na usiye jiamini pamoja na shule yako nakushauri kama ni shule tatizo waza kumuendeleza asomezaidi umenisikitisha kijana
 
elimu ya siku hizi ni kijinga kijinga tu!! haina faida yoyote kwa wanainchi, na wanaofaidika ni kundi ndogo la watu lakn jamii kubwa inaumia.

wewe ni mjinga sana kwa hiyo unataka kumuacha kwa sababu ya elimu.???


shataaapu. nyokooo

Kabisaaaa tena mwana hizayaaa asiye na haya wala kujua vbaya
 
Back
Top Bottom