Nataka kulea mwanaume, awe wangu pekee yangu

Nataka kulea mwanaume, awe wangu pekee yangu

utanilipa bei gani kwa siku?koz unaonekana hujui mapenzi na unatumia pesa zako kama fimbo ya kumpigia mwanaume.walijichokea mbona hata mtaani kwenu wapo!!??.mi nataka niwe nakusugua kila unapohitaji.lakini kwa mkataba usiozidi miezi mitatu.nadhani utakua umempata anayekufaa kwa kipindi hicho.kumbuka mimi sijatulia kabisaa na hautakiwi kunionea wivu.huwa sikai na demu zaidi ya miezi3.nipm kama interested.mia
 
Usihòfu jitahidi watulivu wako wengi including me ila ndo nimewahiwa
 
Tina 600,000 itakutosha na kumtunzia mwanaume?
nimeuliza tu mwaya....
 
angalia marytina watoto wa uswahilini huku Dar, ni watundu kweli.........
hawachelewi kukuexpress ureself.......................
hata boyfriend wa dada yako ni mtundu??????????????????????///
 
@Arusha,baba mngoni, mama mchagga.<br />
<br />
wa kwanza alikuwa mhaya akaniniletea ubisho/utoto tukamwagana<br />
<br />
Nikahamisha mawazo from mabrazameni nikatua kwa Mmasai hoping that hatanisumbua and with time nikampenda sana na bado nampenda.Ila kuna mdada wa kimasai karudi masomoni America naona na niseme wazi keshanivurugia penzi langu.<br />
<br />
Nahisi kuachika na nawaza hivii: IKIWA NTAACHIKA NTATAFUTA MAN ASIYEMSOMI,NOT HANDSOME, MWENYE ROBO YA KIPATO CHANGU,ALIYEVUSHA UMRI WA KUOA, ETHNICAL MAN<br />
<br />
nina net salary ya 630,000 naammini naweza kumnunua mwanaume aliyejichokea maisha wa uswahilini ARUSHA awe wangu peke yangu as nimechoka kuteseka
<br />
<br />
hivi wewe ndo Nazjaz
 
in life we lost nothing except hope..and u have nothing to fear except fear of fear .. and there is no greater love than that inside your heart ...all this will come to pass and the rising sun of tomorror we will bring with it a fresh love foryo u..peace upon you.
nipe issue practical than theoretical
 
daaaah pole mart.. but dont be so desperate! ukiwa desperate sana ndio unaibuka na dege lisiloliwa, piga moyo konde muombe mungu atasikia sala zako tu.. there is a lot of gud men out there!
 
  • Thanks
Reactions: bht
najionea aibu kujibu manake sijui kipi kitakuwa kipi at the end of the day.
benki kukopa haiwezekani manake Mmasai ananizidi kama mara tatu pia mwizi wangu (mke mwenza) ana vidollar alivyotoka navyo huko Amrica masomaoni
kwani lazima uwe na mwanaume?
 
Hapo sasa ndio unajikoroga_navyojua vijana wa dar wakija mikoani ndio wanajifanya masharobaro kwa sana,...nakushauri labda uende handen au mwanga_huko unaweze bahatisha wa kuishi nae kwa bajeti hiyo kwa watu 2,
i will consider
ila ujue nataka mwanaume legelege nitakayemdhibiti
 
Tina 600,000 itakutosha na kumtunzia mwanaume?
nimeuliza tu mwaya....

hapo sasa!...ila inawezekana cashflow yake ni kubwa,...si unajua tena mambo ya bongo
 
  • Thanks
Reactions: bht
@Arusha,baba mngoni, mama mchagga.

wa kwanza alikuwa mhaya akaniniletea ubisho/utoto tukamwagana

Nikahamisha mawazo from mabrazameni nikatua kwa Mmasai hoping that hatanisumbua and with time nikampenda sana na bado nampenda.Ila kuna mdada wa kimasai karudi masomoni America naona na niseme wazi keshanivurugia penzi langu.

Nahisi kuachika na nawaza hivii: IKIWA NTAACHIKA NTATAFUTA MAN ASIYEMSOMI,NOT HANDSOME, MWENYE ROBO YA KIPATO CHANGU,ALIYEVUSHA UMRI WA KUOA, ETHNICAL MAN

nina net salary ya 630,000 naammini naweza kumnunua mwanaume aliyejichokea maisha wa uswahilini ARUSHA awe wangu peke yangu as nimechoka kuteseka
Kuna kijamaa kimoja kinatumia ID ya Mwita25' kitakufaa sana maana kama kimeajiriwa kuchafua Jamvi, sidhani kama kitashindwa hiyo deal
 
Embu acha upuuzi wewe, hizo hela zitakununulia ugonjwa kama hauko makini! wewe tafuta wa kubanduana tuu kila mtu ajuchunge kivyake ukitaka kumfuga mfuge kuku, tuu Bata hafugiki!
mimi nataka nimiliki mwenyewe na sio kushare na wengine
hela si nyingi ila zinaweza kuninunulia furaha
if not kwa kulea sasa umuhimu wa kwenda kazini upo wapi???
 
i will consider
ila ujue nataka mwanaume legelege nitakayemdhibiti

Legelege hauta enjoy baaana,...by lege*2 unamaanisha nini....yaaani hela utoe tena awe legelege
 
Kuna kijamaa kimoja kinatumia ID ya Mwita25' kitakufaa sana maana kama kimeajiriwa kuchafua Jamvi, sidhani kama kitashindwa hiyo deal

ngoja nimwite mwita25 hapa,....
 
Back
Top Bottom