Nataka kulea mwanaume, awe wangu pekee yangu

Nataka kulea mwanaume, awe wangu pekee yangu

in life we lost nothing except hope..and u have nothing to fear except fear of fear .. and there is no greater love than that inside your heart ...all this will come to pass and the rising sun of tomorror we will bring with it a fresh love foryo u..peace upon you.
 
Nipe mimi hiyo nafasi,nipo huku huku Arusha. Cv yangu upon request utaipata
 
nakuja kuchukua mwanaume wa ushwahiini huko dar, sitaki sharobaro hata kidogo

Hapo sasa ndio unajikoroga_navyojua vijana wa dar wakija mikoani ndio wanajifanya masharobaro kwa sana,...nakushauri labda uende handen au mwanga_huko unaweze bahatisha wa kuishi nae kwa bajeti hiyo kwa watu 2,
 
@Arusha,baba mngoni, mama mchagga.

wa kwanza alikuwa mhaya akaniniletea ubisho/utoto tukamwagana

Nikahamisha mawazo from mabrazameni nikatua kwa Mmasai hoping that hatanisumbua and with time nikampenda sana na bado nampenda.Ila kuna mdada wa kimasai karudi masomoni America naona na niseme wazi keshanivurugia penzi langu.

Nahisi kuachika na nawaza hivii: IKIWA NTAACHIKA NTATAFUTA MAN ASIYEMSOMI,NOT HANDSOME, MWENYE ROBO YA KIPATO CHANGU,ALIYEVUSHA UMRI WA KUOA, ETHNICAL MAN

nina net salary ya 630,000 naammini naweza kumnunua mwanaume aliyejichokea maisha wa uswahilini ARUSHA awe wangu peke yangu as nimechoka kuteseka

Embu acha upuuzi wewe, hizo hela zitakununulia ugonjwa kama hauko makini! wewe tafuta wa kubanduana tuu kila mtu ajuchunge kivyake ukitaka kumfuga mfuge kuku, tuu Bata hafugiki!
 
Naona hiyo net ya 600,000 inakupaisha mabega sana.Bado ni kidogo sana kama utataka kuishi a real decent life!Pia naona ethically una matatizo.Please come back to ground level, maisha yatakuwa na maana zaidi.
sina maana na kuwa na kiburi kwa 600 000.
My boyfriend Mmasai anayeniumiza roho kwa sasa anapata nearly mara tatu yangu

Nilijaribu kuonesha ni kivipi nimejiweka tayari kumlea mwanaume wa uswahilini.
 
Mwana FA ktk nyimbo bado nipo nipo anasema:"ukimtaka wako peke yako labda uchukue mgomba uweke ndani".
 
sina maana na kuwa na kiburi kwa 600 000.
My boyfriend Mmasai anayeniumiza roho kwa sasa anapata nearly mara tatu yangu

Nilijaribu kuonesha ni kivipi nimejiweka tayari kumlea mwanaume wa uswahilini.

nimekuuliza hapo mwanzo kuwa wanaume wa uswahilini utawaweza weye?
ligwaride lao utalimudu kweli?
tatizo ni kwamba wako addicted sana na ''jicho''
 
Yuko leo Mshikachuma?
Ha ha haaa umenichekesha sana Nyani Ngabu! Anyway mie nipo mkuu wangu....Lakini hizi za kuishi pamoja
si dizain zangu....mie zangu ni kuchuna cash na kila mtu akae kivyake na si kugandana
 
oh oh..sorry guys..i'v just entered the wrong room...ngoja nirudi zangu tech-gadgets-and-science-forum..:A S 109:
 
umeshachunguza ni kwanini huyo mmasai anaelekea kukumwaga?

usihangaike kutoa boriti kwa mwenzio, jichunguze kwanza..................
Isije kuta ndo nyie kunako 6x6 mnaleta mapozi na kujishaua tu, lakini kazi hamuiwezi!!!

sidhani kama unampakulia vizuri mtoto wa kiume atakuacha..................thubutuuuuuuuuu

anaebisha aseme hapa.....................
naona umedhamiria kunidhalilisha hapo red; hata kama kitandani nina score ya D sasa nifanyajee au niteguke kiuno kisa kumkamatia mpenzi?????
Nahisi anachotaka kuniacha ni swala la kabila manake mwizi wangu ni mmasai mwenzie.
Pia huyo dada amenifunika sana kielimu ana masters wakati mimi elimu yangu ni ya kuungaunga
usitake tutukanane nipo fiti na naliamini umbo langu haliniangushi
 
Naungana na wewe mkuu
nina mtoto bomba ile mbaya na hana njaa lakini bado naendekeza midemu miganga njaa

utamlea akipendeza lazima atabeep nje!suala la kuwa wako peke yako sahau!Wanaume hatutosheki
 
@Arusha,baba mngoni, mama mchagga.<br />
<br />
wa kwanza alikuwa mhaya akaniniletea ubisho/utoto tukamwagana<br />
<br />
Nikahamisha mawazo from mabrazameni nikatua kwa Mmasai hoping that hatanisumbua and with time nikampenda sana na bado nampenda.Ila kuna mdada wa kimasai karudi masomoni America naona na niseme wazi keshanivurugia penzi langu.<br />
<br />
Nahisi kuachika na nawaza hivii: IKIWA NTAACHIKA NTATAFUTA MAN ASIYEMSOMI,NOT HANDSOME, MWENYE ROBO YA KIPATO CHANGU,ALIYEVUSHA UMRI WA KUOA, ETHNICAL MAN<br />
<br />
nina net salary ya 630,000 naammini naweza kumnunua mwanaume aliyejichokea maisha wa uswahilini ARUSHA awe wangu peke yangu as nimechoka kuteseka
<br />
<br />
Unamwitali YESU KRISTO maana anaweza kukupa mume aliyetulia'
Kwa staili hiyo ona sasa wanaume wangapi wamepita na bado unataka kujishusha hadhi mtu hafugwi kwamba awe wako tu' MUNGU WA MBINGUNI ndo anaweza kuwaunganisha mkawa kitu kimoja.
Acha tamaa ya ngono, jihimili mtegemee MUNGU, ia uo mshahara wako ni mdogo sana, jipange kimaisha saidia familia yako na kikubwa kumbuka kumtolea MUNGU WA MBINGUNI fungu la kumi.
 
fight for him kama ni pesa nenda benk kakope? sasa wewe shida yako ni mwanaume au kupendwa/ love?
najionea aibu kujibu manake sijui kipi kitakuwa kipi at the end of the day.
benki kukopa haiwezekani manake Mmasai ananizidi kama mara tatu pia mwizi wangu (mke mwenza) ana vidollar alivyotoka navyo huko Amrica masomaoni
 
Back
Top Bottom