mie ni mwanamme wa kinyakyusa, nikusaidieje?
mie ni mwanamme wa kinyakyusa, nikusaidieje?
hizi threads sasa zinaboa
mnyakyusa kazaliwa dar,mbeya anaenda kusalimia..
mnyakyusa kazaliwa London kaja TZ ana miaka 18....
mnyakyusa kazaliwa na mama mzaramo na kalelewa kisiju kwa wajomba zake
mnyakyusa kazaliwa Tanga ambapo baba na mama yake waliishi kikazi
mnyakyusa kasoma Kenya from Primary to University........
get it now?
2liza munkari khakha! Hzo get it now sizo ntakazo....nataka zile zingine zileee!
Kichwa cha khabari chajieleza..karibuni kwa michango yenyu bhana
Kichwa cha khabari chajieleza..karibuni kwa michango yenyu bhana