Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,209
- 4,706
Wadau hamjamboni nyote?
Wanaume wa Songea wamepewa sifa mbaya ya kupenda zaidi wanawake kuliko makabila mengine.
Nasema kwa dhati sifa hiyo siyo ya kweli hata kidogo na haiwastahili kabisa Ndugu zetu hao.
Kwa taarifa yako kupitia kwa mdau mmoja aliyefanya utafiti Mdogo amedai kuwa eti Wanaume wa Kanda maalumu ndiyo wanastahili sifa hiyo.
Lugha za kejeli au matusi au kashfa hazikubaliki hata kidogo kwenye mjadala huu mzito.
Karibuni tujadili
Wanaume wa Songea wamepewa sifa mbaya ya kupenda zaidi wanawake kuliko makabila mengine.
Nasema kwa dhati sifa hiyo siyo ya kweli hata kidogo na haiwastahili kabisa Ndugu zetu hao.
Kwa taarifa yako kupitia kwa mdau mmoja aliyefanya utafiti Mdogo amedai kuwa eti Wanaume wa Kanda maalumu ndiyo wanastahili sifa hiyo.
Lugha za kejeli au matusi au kashfa hazikubaliki hata kidogo kwenye mjadala huu mzito.
Karibuni tujadili