ladywho naona watu hawataki kupa msaada..mimi nimesoma nao hawa ngoja nkupe..
1. Kelele-sifa ya kwanza kabisa hawa jamaa wana kelele mnoo..yani hata kama waongea nae ana kwa anashout kinoma.
2. Kujiskia-kutana na alieenda shule kidogo afu awe na vihela...atajitangaza mtaa mzima yeye ndo mwasakafyuka..
3. Kujionyesha/too boastful- akiwa na kitu cha tofauti na wengine..let say kanunu kiatu au kashona suti mpya..haoni hatari kusema yeye tu.
amependeza hata kama mpo watu 2000
4.hawawakubali makabila mengne kama wapo zaidi yao..
5.hawawakubali wanawake wao wa kinyakyusa..-hii ndo tabia mbaya kuliko ya hawa watu..wengi wanasema hawawezi oa huko kwao..hawapendi wanawake wao! Cjui why? Ntafanyia utafiti hli..
6.dharau..
Ila ukikuta wenye akili wanaburuza kwelikweli.!
7. Sio wachoyo.-msifie sifie tu..
I summon Gwangambo, ngambongali, Bujibuji, masopakyindi, Yaya Toure and others to come and put a full stop to this thread
umemsahau watu 8
hizi threads sasa zinaboa
mnyakyusa kazaliwa dar,mbeya anaenda kusalimia..
mnyakyusa kazaliwa London kaja TZ ana miaka 18....
mnyakyusa kazaliwa na mama mzaramo na kalelewa kisiju kwa wajomba zake
mnyakyusa kazaliwa Tanga ambapo baba na mama yake waliishi kikazi
mnyakyusa kasoma Kenya from Primary to University........
get it now?
Baba V, waache waseme lolote. Kama wanaona wanaongea kwa busara na hekima ni vyema sana, kama wanaongea tu kwa kukashifu, kukebehi na kudharau, basi ni vyema sana ku apply mbinu ya Kikwete. NI UPEPO TU UNAPITAI summon Gwangambo, ngambongali, Bujibuji, masopakyindi, Yaya Toure and others to come and put a full stop to this thread
ladywho naona watu hawataki kupa msaada..mimi nimesoma nao hawa ngoja nkupe..
1. Kelele-sifa ya kwanza kabisa hawa jamaa wana kelele mnoo..yani hata kama waongea nae ana kwa anashout kinoma.
2. Kujiskia-kutana na alieenda shule kidogo afu awe na vihela...atajitangaza mtaa mzima yeye ndo mwasakafyuka..
3. Kujionyesha/too boastful- akiwa na kitu cha tofauti na wengine..let say kanunu kiatu au kashona suti mpya..haoni hatari kusema yeye tu.
amependeza hata kama mpo watu 2000
4.hawawakubali makabila mengne kama wapo zaidi yao..
5.hawawakubali wanawake wao wa kinyakyusa..-hii ndo tabia mbaya kuliko ya hawa watu..wengi wanasema hawawezi oa huko kwao..hawapendi wanawake wao! Cjui why? Ntafanyia utafiti hli..
6.dharau..
Ila ukikuta wenye akili wanaburuza kwelikweli.!
7. Sio wachoyo.-msifie sifie tu..
Naomba nimsaidie huyu kwa criteria ulizoziweka hapa:The Boss hata mimi siwaelewi hawa wanaoulizia sifa za watu kwa muktadha wa makabila..
Hivi kwa akili ya kawaida unaweza kupata kitu kinaitwa 'mwanaume wa kinyakyusa' au 'mwanamke wa kipare'
Huyu mnyakyusa aweza kuwa mkiristo au mwislamu, msomi au sio msomi, wa mjini au kijijini..yupi sasa?
Kuna attributes nyingi unazotakiwa kuzi'hold constant' ili umpate huyo 'mwanaume wa kinyakyusa'
loli nsekilee mweee.. Heeee fyo bhene bhikuti mukukoma amisi fijho malafyale.
Hahahahahaahahah! Umenifurahisha sana , ni kweli hawaoi kwao sijui ni kwa nn , na ukiwauliza hawasemi.
Pia kama umeoa mnyakusya wewe ni kabila lingine, mgeni akija kwako atafikiri woote ni wanyakusya, nina maana kwamba wanatabia ya kuteka mji.
Mademu wao wabaya ndo maana hawawaoi.....to my experience, sijawahi kuona dem wa kinyakyusa mzuri.