Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Subiri mkutano ujao wa JK akupe kadi ya CCM....na wewe utangazwe kuwa umejitoa rasmi CHADEMA maana ndio lengo lenu...ila hutapewa mshiko kama Nakaaya
Kila unapoleta hoja hunabudi kuwa na taarifa sahihi na weledi wa hoja husika. Mwanachama wa chama kwa miaka 14 halafu huijui katiba ya chama chako? Isome katiba vizuri pima utekelezwaji wake. Usiwe kama jamaa fulani hivi aliyeapa kuilinda na kuihifadhi katiba, baadae akaivunja kwa kiherehere chake cha kuingilia wajibu na mamlaka ya kikatiba kilichopewa chombo kingine (Kusamehe wezi wa fedha za umma ni kuingilia kazi ya mahakama).Nimeandika hii post ili kuomba ushauri wenu kwa maana kujiondoa CHADEMA ni jambo zito si jambo rahisi kabisa ndio maana nakusudia kupata ushauri wenu ambao naamini utanisaidia kufanya uamuzi sahihi lakini nasikitika kuona mnaojiita great thinkers mmegeuka waropokaji ambao mnashindwa kujenga hoja na kunishauri badala yake mnaongozwa na jazba.................narudia tena kutokana na sababu nilizoziorodhesha hapo juu nakusudia kujitoa CHADEMA naomba ushauri wenu wana JF
Wana JF wenzangu nimekuwa mwanachama mtiifu wa CHADEMA tangu 1996 hadi hivi sasa nimevaa gwanda naombea kura chama changu. Licha ya juhudi zote hizi naona viongozi wetu wa CHADEMA hasa Dr slaa na Mbowe wamefanya hiki chama kama self-property just look wamempokea na kumwingiza kwenye kamati kuu Mabere Marando ambaye inajulikana wazi kuwa ni pandikizi la CCM tena aliivuruga NCCR-MAGEUZI, hawa jamaa hatujui hata ruzuku inatumikaje tukihoji tunazibwa mdomo, wameanza kutudhalilisha wanachadema wenzao kwa matendo yao maovu kama kupora wake za watu sasa wote tunaonekana mafuska................sasa nimekusudia kwa dhati kuhama chama hiki niwaache Mbowe na Dr Slaa waendeleze ukabila wao kwa maana hata wakishinda nahofia lugha ya taifa inaweza kuwa kichagga au kimbulu.
Remember Tanzania is first before CHADEMA, CUF&CCM
Kama una mke nenda kamuombe ushauri kama hauna kamuombe aliyekuingiza chadema
Wana JF wenzangu nimekuwa mwanachama mtiifu wa CHADEMA tangu 1996 hadi hivi sasa nimevaa gwanda naombea kura chama changu. Licha ya juhudi zote hizi naona viongozi wetu wa CHADEMA hasa Dr slaa na Mbowe wamefanya hiki chama kama self-property just look wamempokea na kumwingiza kwenye kamati kuu Mabere Marando ambaye inajulikana wazi kuwa ni pandikizi la CCM tena aliivuruga NCCR-MAGEUZI, hawa jamaa hatujui hata ruzuku inatumikaje tukihoji tunazibwa mdomo, wameanza kutudhalilisha wanachadema wenzao kwa matendo yao maovu kama kupora wake za watu sasa wote tunaonekana mafuska................sasa nimekusudia kwa dhati kuhama chama hiki niwaache Mbowe na Dr Slaa waendeleze ukabila wao kwa maana hata wakishinda nahofia lugha ya taifa inaweza kuwa kichagga au kimbulu.
Remember Tanzania is first before CHADEMA, CUF&CCM
yaani unahamia kwenye meli inayokaribia kuzama ama? nenda ccm utalijua jiji.wewe unakimbia matatizo kama yapo saidia yaishe tuchape mwendo mpk ikulu trh 1 nov
tehe tehe...safi sana!!
Huu ni mfano halisi wa mbwa anayepiga miluzi (kwa hisani ya Maggid).