jamaniii nimekuwa nikifuatilia hiyo topic ya kutaka mtu apewe ushauri juu ya kuhama chama,mmesema mmemshauri mbn naona hamna ushauri wowote zaidi ya kutukana tuuuu,kama inamuuma asiseme?kasema na naona ni bora wote tumuunge mkono tuhame chama sababu hao tunaowafagilia wapo kwa maslahi yao,ss hatufaidiki na lolote kwao,njoooni kwa watu wanaojali maslahi ya watu na ambao hawana ukabila wowote.karibuni sana.tanzania bila ukabila inawezekana,wakinge uwapendao na wanaendeleza ukabila.