Nataka kujitoa chadema naomba ushauri

jamaniii nimekuwa nikifuatilia hiyo topic ya kutaka mtu apewe ushauri juu ya kuhama chama,mmesema mmemshauri mbn naona hamna ushauri wowote zaidi ya kutukana tuuuu,kama inamuuma asiseme?kasema na naona ni bora wote tumuunge mkono tuhame chama sababu hao tunaowafagilia wapo kwa maslahi yao,ss hatufaidiki na lolote kwao,njoooni kwa watu wanaojali maslahi ya watu na ambao hawana ukabila wowote.karibuni sana.tanzania bila ukabila inawezekana,wakinge uwapendao na wanaendeleza ukabila.
 
Kila chama kinatatizo lake, afadhali chadema kuliko ccm na cuf; kwa ushauli wa bure anzisha chama chako, kwa sababu pindi utakapo anzisha chako nasisi tutakiita cha familia, naamini mtoto wako na mke wako watakuwa wanachama, then jirani zako na wazazi wako wanaweza kukuunga mkono, tatu kama wewe ni mkristo waumini wenzako watakuunga mkono hapo kitakuwa cha kidini na kama wewe muislam itakuwa hivyo hivyo.
Msomi makini na mchambuzi wa mambo ni afadhali chadema kuliko ccm na cuf
 
kwani ukitoka wewe ni tatizo? toka tena nenda....

jana pekee nimefanikiwa kuwa hamisha watu 9 toka ccm kwenda chadema. hapa oficn nimebadilisha mawazo a watu kama 30 na wote ni chadema na wana kadi za chadema na kadi za kupigia kura.....

nenda.........
 
Swali. Kwa nini vyombo vya habari humu nchini vimeshupalia kumuita JK Dr??? Au na yeye aonekane msomi kama Dr. Slaa na Lipumba. Samahani nimeenda nje kidogo ya mada.
Kwa sababu anajua namna ya kuomba misaada nje,
kutetea MAFISADI,
kutoa ahadi zisizotekelezeka eg.ujenzi wa reli Dar-Mwanza,
hajui ni kwanini watanzania ni masikini,
Wengine watakujibu ila siku nyingine usitoke nje ya mada.

 
Kwani uliambiwa ukivaa gwanda ndo utaonekana wewe ni maridadi kwa CHADEMA kama ni mamluki watu wanatupa kule wangapi wamepigwa chini? Ulifata uongozi? Hebu chapa lapa usituwekee kiwinu kwenye mada za muhimu humu ndani time ni mali sana huu muda nilioutumia kuchapa hii text kwako ningechangia ya maana kama usingalituma hii kitu
 
Wakati wa kujiunga uliomba ushauri ? ushauri wangu, mlango uliopitia kuingia tumia huo huo kutokea. Sababu za kujiunga kama hazipo tena zinatosha kukufanya uhame, hiyo ndio DOMOKROSI (demokrasi).
 
wana jf wenzangu nimekuwa mwanachama mtiifu wa chadema tangu 1996 hadi hivi sasa nimevaa gwanda naombea kura chama changu. Licha ya juhudi zote hizi naona viongozi wetu wa chadema hasa dr slaa na mbowe wamefanya hiki chama kama self-property just look wamempokea na kumwingiza kwenye kamati kuu mabere marando ambaye inajulikana wazi kuwa ni pandikizi la ccm tena aliivuruga nccr-mageuzi, hawa jamaa hatujui hata ruzuku inatumikaje tukihoji tunazibwa mdomo, wameanza kutudhalilisha wanachadema wenzao kwa matendo yao maovu kama kupora wake za watu sasa wote tunaonekana mafuska................sasa nimekusudia kwa dhati kuhama chama hiki niwaache mbowe na dr slaa waendeleze ukabila wao kwa maana hata wakishinda nahofia lugha ya taifa inaweza kuwa kichagga au kimbulu.

Remember tanzania is first before chadema, cuf&ccm
ondoka haraka sana fisadi wewe, tena usiage!
 
"viongozi wetu wa CHADEMA hasa Dr slaa na Mbowe wamefanya hiki chama kama self-property"

Nawapasulia kwani vipi huko ulikotoka ambako Baba,Mama na Watoto wanaendesha chama unaona ni kuzuri sana.
 
Jamanieee, ukiangalia kwa makini, mtoa mada na wanaomsapoti kama kina Zeeth, wote ni wageni humu JF. Ninawasiwasi wametumwa kuja kuiongezea CCM ( Chaka Chua Matokeo) nguvu kwa kupiga kura za maoni na kuandika propaganda za ajabuajabu humu ndani. Nishawashtukia, ngoja nisepe wasinipotezee mda. :hand:
 
Wana JF wenzangu nimekuwa mwanachama mtiifu wa CHADEMA tangu 1996 hadi hivi sasa nimevaa gwanda naombea kura chama changu. Licha ya juhudi zote hizi naona viongozi wetu wa CHADEMA hasa Dr slaa na Mbowe wamefanya hiki chama kama self-property just look wamempokea na kumwingiza kwenye kamati kuu Mabere Marando ambaye inajulikana wazi kuwa ni pandikizi la CCM tena aliivuruga NCCR-MAGEUZI, hawa jamaa hatujui hata ruzuku inatumikaje tukihoji tunazibwa mdomo, wameanza kutudhalilisha wanachadema wenzao kwa matendo yao maovu kama kupora wake za watu sasa wote tunaonekana mafuska................sasa nimekusudia kwa dhati kuhama chama hiki niwaache Mbowe na Dr Slaa waendeleze ukabila wao kwa maana hata wakishinda nahofia lugha ya taifa inaweza kuwa kichagga au kimbulu.

Remember Tanzania is first before CHADEMA, CUF&CCM

Kaka Nawapasulia mimi nakushauri ondoka tu huko usijari utapokelewa maana wanajua nyote ninyi mlihama kwa "hasira". Ila nikukumbushe tu ondoka bila kupindisha ukweli huko utokapoa, Marando sio aliyevuruga NCCR kama umeshau pandikizi la chama kule alikuwa ni A.L Mrema na alifanya kazi yake vizuri tu, ndio maana safari hii amepelekwa Vunjo akajaribu tena! Unasema unaondoka kwa Sababu Slaa anaishi na Josephine na wewe unaita huo kuwa ni udhalilishaji, aaa basi nikuambie tu kama huo we unaona ni udhalilishaji basi huujui udhalilishaji, na kwa kuwa umeonesha nia ya kuondoka huko basi karibu CCM huku tutakuonesha nini hasa maana ya udhalilishaji, labda nikupe kipande tu! Huku kwetu katibu mkuu alibaka mwanafunzi wakati akiwa mwalimu lakini sisi hatujali, mweyekiti wetu anahonga ajira za BOT na ukuu wa wilaya kwa vimada wake sisi kwetu ni poa tu, mjumbe wetu wa kamati ya maadili (wenyewe mnamuita mzee wa vijisenti) anakula shemeji yake lakini kwetu huu sio udhalilishaji! halafu we unasema Slaa kuishi na mwanamke aliyeachika kwa mumewe ni udhalilishaji! si unamjua yule mwenyekiti wa jumuiya ya wabeijing wa chama chetu, si unakumbuka alizaa na mume wa mtu, yule mzee KK

Umesema eti jamaa wakishinda unahofu ya ukabila, usogope hilo mbona ni dogo na haliwezekani, ila njoo huku kwetu CCM maana tumekwisha amua kuwa tukishinda tu Ikulu ni mali ya familia ya mwenyekiti wetu, maana hadi sasa tumekwisha kabidhi chama kwa familia yake bado serikali tu!
Njoo haraka na wala usiwaombe hao ushauri, si unajua wengi wengine walikuwa huko na waliwahi kusema kuwa wakirudi huku labda walale na mama zao!lakini leo tunao na waliondoka bila kuomba ushauri, maana wangekumbushwa kulala na mama zao, hivyo nakushauri rudi tu usiombe ushauri. Namaliza kwa kukukaribisha, KIGUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!
 
Wabongo mna matatizo sana. Ingekuwa ametangaza kuihama CCM mngempa na ushauri wa wapi pa kwenda. Bora hiyo oktoba 31, 2010 na ifike tupumzike na haya marumbano.
 
Kaka Nawapasulia mimi nakushauri ondoka tu huko usijari utapokelewa maana wanajua nyote ninyi mlihama kwa "hasira". Ila nikukumbushe tu ondoka bila kupindisha ukweli huko utokapoa, Marando sio aliyevuruga NCCR kama umeshau pandikizi la chama kule alikuwa ni A.L Mrema na alifanya kazi yake vizuri tu, ndio maana safari hii amepelekwa Vunjo akajaribu tena! Unasema unaondoka kwa Sababu Slaa anaishi na Josephine na wewe unaita huo kuwa ni udhalilishaji, aaa basi nikuambie tu kama huo we unaona ni udhalilishaji basi huujui udhalilishaji, na kwa kuwa umeonesha nia ya kuondoka huko basi karibu CCM huku tutakuonesha nini hasa maana ya udhalilishaji, labda nikupe kipande tu! Huku kwetu katibu mkuu alibaka mwanafunzi wakati akiwa mwalimu lakini sisi hatujali, mweyekiti wetu anahonga ajira za BOT na ukuu wa wilaya kwa vimada wake sisi kwetu ni poa tu, mjumbe wetu wa kamati ya maadili (wenyewe mnamuita mzee wa vijisenti) anakula shemeji yake lakini kwetu huu sio udhalilishaji! halafu we unasema Slaa kuishi na mwanamke aliyeachika kwa mumewe ni udhalilishaji! si unamjua yule mwenyekiti wa jumuiya ya wabeijing wa chama chetu, si unakumbuka alizaa na mume wa mtu, yule mzee KK

Umesema eti jamaa wakishinda unahofu ya ukabila, usogope hilo mbona ni dogo na haliwezekani, ila njoo huku kwetu CCM maana tumekwisha amua kuwa tukishinda tu Ikulu ni mali ya familia ya mwenyekiti wetu, maana hadi sasa tumekwisha kabidhi chama kwa familia yake bado serikali tu!
Njoo haraka na wala usiwaombe hao ushauri, si unajua wengi wengine walikuwa huko na waliwahi kusema kuwa wakirudi huku labda walale na mama zao!lakini leo tunao na waliondoka bila kuomba ushauri, maana wangekumbushwa kulala na mama zao, hivyo nakushauri rudi tu usiombe ushauri. Namaliza kwa kukukaribisha, KIGUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!


Hahuna chama cha upinzani tanzania, wote hao ni CCM. Nyie raia jijengeeni chuki kununiana wenyewe kwa wenyewe wenzenu wanasiasa wanakaa meza meza moja. Kama kweli kuna upinzani kwa nini vyama pinzani vyote visiungane na kutengeneza chama kimoja chenye nguvu na kuing'o CCM madarakani???? Watu wako kibiashara zaidi na wakti huu biashara imeshikwa na CCM. Muda wa chama kingine utafika na bado hali zetu raia zitakuwa zile zile
 
Chadema chadema chadema your no longer good
you have been stolen
mbowe$dr slaa are thief
they are outsoursing their rubbish to you
shame on them for they don't want to change
am going my dear chadema though i love you
bye bye bye bye dear chadema
 
Hahuna chama cha upinzani tanzania, wote hao ni CCM. Nyie raia jijengeeni chuki kununiana wenyewe kwa wenyewe wenzenu wanasiasa wanakaa meza meza moja. Kama kweli kuna upinzani kwa nini vyama pinzani vyote visiungane na kutengeneza chama kimoja chenye nguvu na kuing'o CCM madarakani???? Watu wako kibiashara zaidi na wakti huu biashara imeshikwa na CCM. Muda wa chama kingine utafika na bado hali zetu raia zitakuwa zile zile

supporters.jpg
 
Chadema chadema chadema your no longer good
you have been stolen
mbowe$dr slaa are thief
they are outsoursing their rubbish to you
shame on them for they don't want to change
am going my dear chadema though i love you
bye bye bye bye dear chadema

jk-makete.jpg
 
Mr. NAWAPASULIA
wewe ni mjinga, wewe ni mshamba sana. Unaongea vitu ambavyo havipo. Kama umetumwa kawasalimie waliokutuma. Tatizo la maneno ya kusikia kisha unayapigia debe. Sisi wenye Chadema hatuoni ukabila wowote. Kumpa cheo Marando kuna shida gani. Mtu anapewa mamlaka fulani kutokana na umuhimu wake. Mbona Lamwai alipewa ubunge wa dezo na BWM, Mteamvu akapata UDC, n.k. Usilete majungu yasiyo na masiko. Puxxx fu.
 
Chadema chadema chadema your no longer good
you have been stolen
mbowe$dr slaa are thief
they are outsoursing their rubbish to you
shame on them for they don't want to change
am going my dear chadema though i love you
bye bye bye bye dear chadema

Ndugu yangu bado tu hujaondoka? si wameisha kushauri ondoka njoo huku au nawe wataka kujiapiza kuwa hutarudi tena kwao labda ula... na mzazi wako! njoo huku hakuna wezi kama huyo Slaa na Mbowe, maana sisi sote ni safi, hebu kwanza ona huku kwetu tuna watu kama Edward Lowassa huyu alileta Richmond, Rostam Aziz huyu "alichukua "pesa pale BOT kwa kampuni yake ya Kagoda, si unakumbuka zile pesa za kampeni ya ushindi wa kishindo, ni huyu alileta, tunao watu kama Chenge a.k.a vijisenti alileta ndege ya Rais, tunaye Mzee Kingunge si unaona familia yake ilivyokuwa inaendesha kisasa ile stand ya Ubungo! we njoo huku hakuna wezi na tunapigana kwe;i na ufisadi, si unaona tumemfikisha Mrombo aaa no mramba a.k.a panga la zamani makali yaleyale, japo kesi yake ni ndogo na mwenyekiti kaahidi kuwa atashinda, si unaona we njoo!
 
Mbona una-sound kama m-CCM, tena kibaraka wa mafisadi unayemwogopa sana Dr Slaa? Huo ni wimbo wa CCM uliotungwa na mafisadi kwa hofu ya PEOPLE'S POWER. Jaribu mbinu nyingine.

Kuna pipoz pawa halafu kuna sojaz pawa. Siku ya mapambano usikimbilie Internet cafe kukodolea macho Facebook na JamiiForum ila uwepo uwanjani ukionyesha pipoz pawa wakati virungu vikiwa vinatua kichwani na mateke na mabuti ya ugoko, viuno, tigo yakitua bila ya taarifa. :A S 13:
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom