Naantombe Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,254
- 15,735
Sawa mkuu, ngoja nifanye hivoSoma post namba 51 afu utaamua uendelee au uacheš
Sawa mkuu, ngoja nifanye hivoSoma post namba 51 afu utaamua uendelee au uacheš
Ticha wa mchongoTicha nipo hapa
Mkuu ntakuja kukualika ujue kutembelea biashara zangu ili uamini![]()
Biashara ya chupi za kike, mikanda ya tumbo, tight za kike soksi
Wakuu nimekuja msaanda kwenu nisaidieni hii biashara nataka kuanza ifanya kwa njia ya mtandaoni na nivip naweza pata mzigo Chinawww.jamiiforums.com
![]()
Biashara yangu imefilisika mtaji kutoka milioni 50 hadi 15. Nifanye nini?
Habari wakuu Kama title inavyoeleza hapo juu, nilikuwa nafanya biashara ya duka la vyakula ambapo mtaji wangu ulikuwa milioni 50. Sasa nimefilisika mpaka kufikia mtaji kubaki milioni 15. Sasa wakuu nipeni ushauri nihamie katika biashara gani kulinda hii pesa yangu?www.jamiiforums.com
![]()
Biashara ya kulenga magari
Habar wakuu Nina idea yakufanya biashara ya kulenga magari .yaan nanunua gari za Bei ndogo 4m,3.5m,5m Kisha kuziuza kuzitafutia wateja kwa faida ya pesa kidgo kuanzia 500000..wajuzi wamambo nipeni naujanja Sina uzoefu wowote wa magariwww.jamiiforums.com
malembeka18 unatuona sie watoto š
Ushauri BoraTaratibu za kuzingatia:
Ukikata kuanzisha shule, nenda ofisi ya afisa elimu sekondari utapata mwongozo sahihi wa kuzingatia ila baadhi tu kwa uchache ni uwepo wa madarasa yasiyopungua manne, maabara zilizokamiliza zenye vifaa zisizopungua tatu, jengo la utawala na viwanja vya michezo.
Usipokidhi vigezo hivyo kupata usajili wa shule ni utata:
Changamoto:
Kikubwa uwe na uwezo wa kusimamia vema shule yako kama zifanyavyo shule za RC na uajiri walimu mahiri wenye kuleta matokeo bora, vinginevyo kama huna uhakika wa kufikia vigezo hivyo, heri uwekeze hela yako kwenye sector nyingine.
Pia biashara ya shule binafsi kwa sasa imeathiriwa na ukata mifukoni mwa wananchi na ukosefu wa future Kwa wasomi waliozaliwa familia zenye uchumi duni hali iliyopelekea mwamko wa wazazi wengi kuacha kupeleka watoto wao shule binafsi.
Maoni:
Bora kuanzisha chuo cha kati kinachotoa fani na taaluma ngazi ya cheti hadi stashahada kuliko kuanzisha shule ya sekondari.
Uwongo wangu upi au unataka nije nikualike katika biashara zangu nina petrol station2,nidistributor wa vinywaji kampuni moja kubwa,nastock ng'ombe,Nina godwn ya milling machine,nafanya biashara ya kustock mazao mpunga na mahindiJamaa muongo muongo sana ila atakua na shida mahali ukipitia threads zake utaona sometext missing š
Naomba unialike nije nijifunze super businessmanUwongo wangu upi au unataka nije nikualike katika biashara zangu nina petrol station2,nidistributor wa vinywaji kampuni moja kubwa,nastock ng'ombe,Nina godwn ya milling machine,nafanya biashara ya kustock mazao mpunga na mahindi
Anazo kweli, atanialika namie nikajifunze biasharaNyie watu wabaya sana, mtu na Uzi wake kaja kwa upole na 100m mfuko wa shatiš
Ila mmefukua makaburi mpk kishagundulika n wale TUMA KWENYE NAMBA HII, NI MIMI MWENYE NYUMBA WAKOš,,,, haya oneni sasa kishakimbia!!šš
Intelligent businessman
Evelyn Salt
Ambacho hamkijui mfano hiyo biashara ya petrol station margin profit huwa inaanzia 150-240 per Lita ukiwa na uwezo wa kuuza lita kuanzia 3500 utaengeneza pesa nzuri tu,Kwaiyi margin profit huanzia 500,000-1100,000 kwa sikuAnazo kweli, atanialika namie nikajifunze biashara
Mwenzako anataka kufungua Wewe unawaza Kuajiriwa ??Mwalimu nipo hapa
Huu mwandiko sio mmiliki wa kituo cha mafuta. Labda play stationYes kituo nilifanikiwa vizur tu kiko mwishoni kukamilika nikiombee vibali kwa ajili yakuanza kuuza mafuta
Shangaa hivo hivo,mnaona kama watu jf hawanakazi zakuwaingizia pesa nzuri per dayHuu mwandiko sio mmiliki wa kituo cha mafuta. Labda play station
Au unataka uoneshwe bankslip yakulipia mafuta ndo ujue namiliki vituo vya mafuta,watu bana mmevurugwa ndo maana watu wa jf wagumu sana kuweka fursa humu watu wapate rizkiHuu mwandiko sio mmiliki wa kituo cha mafuta. Labda play station