Nataka kufungua shule ya sekondari

Nataka kufungua shule ya sekondari

Mkuu safi sana kwa wazo hili zuri, binafsi siwezi kumshauri mtu afungue shule ya secondary as a private school,hailipi sana kwa maisha na mifumo iliyopo kwa sasa,

Kama kweli uko committed ni Bora kuanzisha a primary school,wateja ni wengi sana hasa ikiwa English medium,wateja ni wengi,Anza na nursery school,ukitaka mwongozo nitakuwekea hapa
 
Siunajua mambo usiweke mayai yote kwenye kapu moja,nataka kudirvesify
Hongera sana, daycare na nursery naona ndo uhakika kama una huduma nzuri....kama unapokaa zipo unaweza tafuta mahali pengine kama usimamizi upo pia
 
Mkuu safi sana kwa wazo hili zuri, binafsi siwezi kumshauri mtu afungue shule ya secondary as a private school,hailipi sana kwa maisha na mifumo iliyopo kwa sasa,

Kama kweli uko committed ni Bora kuanzisha a primary school,wateja ni wengi sana hasa ikiwa English medium,wateja ni wengi,Anza na nursery school,ukitaka mwongozo nitakuwekea hapa
Sasa mkuu hapa nilipo Kuna English medium 5 kati ya hizo tatu ndo experienced zina miaka7 mbili ndo zimefunguliwa mwaka huu na Kuna nyingine 2 zinajengwa,unanishauri nin katika hili
 
Wazungu Sasa mkuu hapa nilipo Kuna English medium 5 kati ya hizo tatu ndo experienced zina miaka7 mbili ndo zimefunguliwa mwaka huu na Kuna nyingine 2 zinajengwa,unanishauri nin katika hili
Wazungu hutoka ulaya kuja kuwekeza Tanzania na Africa,sioni tatizo wewe kuhama eneo ulilopo na kwenda kuwekeza eneo tofauti,tafuta location mkuu
 
Wazungu hutoka ulaya kuja kuwekeza Tanzania,sioni tatizo wewe kuhama eneo ukilopo na kwenda kuwekeza eneo tofauti,tafuta location mkuu
Unaamani kama Niko katika wilaya hii nitoke kwenda wekeza wilaya nyinge kabisa ama mkoa mwingine
 
Sasa mkuu hapa nilipo Kuna English medium 5 kati ya hizo tatu ndo experienced zina miaka7 mbili ndo zimefunguliwa mwaka huu na Kuna nyingine 2 zinajengwa,unanishauri nin katika hili
Fungua daycare mkuu utapiga pesa, ada iwe rahisi kulinganisha na hao wapinzani wako
 
Sasa mkuu hapa nilipo Kuna English medium 5 kati ya hizo tatu ndo experienced zina miaka7 mbili ndo zimefunguliwa mwaka huu na Kuna nyingine 2 zinajengwa,unanishauri nin katika hili
Unaweza angalia fursa nyingine sio lazma shule tu, hapo hizo shule nyingi angalia mahitaji yao kisha wewe uwe supplier.... Wanaweza kuwa hata hawana school bus, wewe kaprovide usafiri.
 
Yes,unazifahamu shule za waja ambazo ziko geita!? Mkurugenzi wake ni mtu wa Mara,so it is possible,Mimi ni mkazi wa mwanza lakini kwa sasa Niko Lindi kwa ajili ya utafutaji

Hivyo kwenye utafutaji sioni tatizo ku- move for the search of investment
Unaamani kama Niko katika wilaya hii nitoke kwenda wekeza wilaya nyinge kabisa ama mkoa mwingine
 
Yes,unazifahamu shule za waja ambazo ziko geita!? Mkurugenzi wake ni mtu wa Mara,so it is possible,Mimi ni mkazi wa mwanza lakini kwa sasa Niko Lindi kwa ajili ya utafutaji

Hivyo kwenye utafutaji sioni tatizo ku- move for the search of investment
Shule za waja nazifahamu Tena kabla yakupandisha huu Uzi nlikua naangalia matokeo ya hizo shule,najuaga nammiliki sjui ndo huyo mwenye kampuni ya waja mabati
 
Fanya biashara..uza nunua.. uza nunua.. apply MERCHANTALISM.. yaan una buy cheap una sell dearly.

Sisi cha kukushaur wewe ukifungua shule UNAUZA NINI?????

Fanya biashara mzee...Mimi nili kua na biashara ya day care ila kwa hii miaka miwili imeanza ku fail maana wife ujauzito na maleziii sio jambo rahisi kabisaaa...

Fanya BIASHARA kaka shule ni long term investment
 
Back
Top Bottom