Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,478
- 96,939
I still repeat
No man will be buried uncircumcised, as long as I'm still working at the mortuary ๐ฆ
I still repeat
Nakumbuka nili kuuliza mmefikia wali?, ukasema kimya kingi๐๐ฆAcheni kufukua jamani
Mwenzenu Don kwa sasa
Kama Roast tamu vile eti ๐Ana dream big ๐
Millioni 100 ndogo kwa secondary labda nursery100m
Tz katika Top 100 ya matajiriNakumbuka nili kuuliza mmefikia wali?, ukasema kimya kingi๐๐ฆ
Jamaa muongo muongo sana ila atakua na shida mahali ukipitia threads zake utaona sometext missing ๐Kama Roast tamu vile eti ๐
Ningekuwa na ndoto za hivyo leo sijui ningekuwa wapi
Nikiomba niwe partner wanasema 500m nayo ni hela?
Wadau nipeni ushauri kwenye sector ya elimu,nataka kufungua secondary vip biashara katika sector ya elimu hasa secondary Ikoje,
taratibu zipi zakufuata kufungua secondary na vigezo Gani vyakuzingatia kudumu kwenye biashara na kupata watoto
Huu ni ugonjwa ila sijaujua kitaalamu unaitwaje?Jamaa muongo sana ila atakua na shida mahali ukipitia threads zake utaona sometext missing ๐
Nione kwa business plan tuone kama wazo lina financial viabilityWadau nipeni ushauri kwenye sector ya elimu,nataka kufungua secondary vip biashara katika sector ya elimu hasa secondary Ikoje,
taratibu zipi zakufuata kufungua secondary na vigezo Gani vyakuzingatia kudumu kwenye biashara na kupata watoto
Possible ni ugonjwa au nini mi sijui....kuna ndugu yangu pia nae mi tangu nipo primary ye yupo chuo hadi leo nakula mishahara ye bado yupo chuo, kuna siku anapiga simu anasema amekua wa kwanza chuo kizima,na sio mara moja huwa anasema chuo anakua wa kwanza.Huu ni ugonjwa ila sijaujua kitaalamu unaitwaje?
Kuna mzee mmoja yeye anakumbia na anaapa kuwa kwenye kisiwa cha Jersey ana millions of ยฃs
Halafu ana mijengo mingi tu
Mpaka anakuzungusha anakuambia hili jengo langu nimepangisha
Siku kafariki watoto wake walichukua gari lake tu maana hata nyumba aliyokuwa anaishi ilikuwa ni ya serikali
Wapo wengi nimewaona wa hivyo
Hebu niambie ni ugonjwa gani huu
Maana niliwauliza wanae wakasema baba alikuwa anaota mchana
Hamna mfanya biashara hapa, fanya mambo mengine bro ๐๐๐Nione kwa business plan tuone kama wazo lina financial viability
wa kike? ๐๐Possible ni ugonjwa au nini mi sijui....kuna ndugu yangu pia nae mi tangu nipo primary ye yupo chuo hadi leo nakula mishahara ye bado yupo chuo, kuna siku anapiga simu anasema amekua wa kwanza chuo kizima,na sio mara moja huwa anasema chuo anakua wa kwanza.
Sijui ni nati mbovu ndio kind ya huyu mitaji mil 100, 50, 500 ๐๐๐
Yeah wa kikewa kike? ๐๐
Au sio mkuu!Hamna mfanya biashara hapa, fanya mambo mengine bro ๐๐๐
Mkuu! Hongera kwa hilo wazo, kipaumbele chako kiwe ni kutoa huduma, siyo biashara. Hizi shule za binafsi zina changamoto nyingi katika kuziendesha kwa ufanisi. Unaweza ukaenda miaka mingi bila kupata faida, likitokea hilo kama umejikita kwenye biashara/faida unaweza kuacha. Lakini kama umejikita kwenye huduma utatafuta namna ya kuendelea.Wadau nipeni ushauri kwenye sector ya elimu,nataka kufungua secondary vip biashara katika sector ya elimu hasa secondary Ikoje,
taratibu zipi zakufuata kufungua secondary na vigezo Gani vyakuzingatia kudumu kwenye biashara na kupata watoto
eve siku muite muulize nini shida?, angekuwa me ninge sema ana taka kukupiga kizingaYeah wa kike
Soma post namba 51 afu utaamua uendelee au uache๐Au sio mkuu!
Ni ndugu wa mbali sinaga hata mawasiliano nae, kwa hizo akili tu kuna kitu hakiko sawa....eve siku muite muulize nini shida?, angekuwa me ninge sema ana taka kukupiga kizinga
Tunapata dhambi jamani daaaPossible ni ugonjwa au nini mi sijui....kuna ndugu yangu pia nae mi tangu nipo primary ye yupo chuo hadi leo nakula mishahara ye bado yupo chuo, kuna siku anapiga simu anasema amekua wa kwanza chuo kizima,na sio mara moja huwa anasema chuo anakua wa kwanza.
Sijui ni nati mbovu ndio kind ya huyu mitaji mil 100, 50, 500 ๐๐๐