Jf bana unaweza kudhani mtu yupo serious kumbe kaja kupoteza zake muda.....
malembeka18 mwaka 2020 alikua na mtaji wa mil 30 kaja dar anaulizia biashara.
Wakuuu katika kuhaso haso mkoani huko nimekusanya Tsh. milioni 30 sijui nifanye biashara gani. Nahitaji mawazo yenu wakuu Sent using Jamii Forums mobile app
www.jamiiforums.com
Mara tena ana mil 35 kakusanya
Wakuu nimebangaiza nimefanikiwa kuweka Milioni 35 nataka kuingia katika biashara Kariakoo, nifanye biashara gani? Michango ya wadau Hayo mambo ya kununua nafaka na kuzitunza store, yalishapitwa na wakati, utakuja kulia!! Siku hizi unakuta karibia kila mwaka kuna mvua za kutosha, hivyo mavuno...
www.jamiiforums.com
Hapo kati kauliza uliza bei za fuso, mara ana kituo cha mafuta....mara kajenga tu ila hana mtaji wa mafuta anatafuta pa kukopa mil 50 sijui mara leo ana mil 100 😂😂😂😂😂😂
Wakuu Kama nilivoelezea hapo hapo juu namiliki kituo Cha mafuta. Nina changamoto yakushuka mauzo kulinganisha nahapo awali mauzo yamepungua baada yakuongezeka vituo viwili vingne vya mafuta. Nini nifanye kuongeza mauzo au kuvuta wateja Zaid ukizingatia washindani wangu wana nguvu zaid yangu...
www.jamiiforums.com