Mangwea1900
JF-Expert Member
- May 29, 2025
- 2,485
- 3,229
Biashara ya kichaa hiyo
Naomba ajira basi mkuuUwongo wangu upi au unataka nije nikualike katika biashara zangu nina petrol station2,nidistributor wa vinywaji kampuni moja kubwa,nastock ng'ombe,Nina godwn ya milling machine,nafanya biashara ya kustock mazao mpunga na mahindi
Ha ha ha jf wanazingua member,ajira ipi mkuu,Naomba ajira basi mkuu
Biashara ipi ya kichaa hiyoBiashara ya kichaa hiyo
Nilimaanisha biashara kichaaBiashara ipi ya kichaa hiyo