Nataka kufungua goli la Kitimoto Ujiji Kigoma

Brother heshima yako ni kubwa mno humu jamii forum sitegemei nikuvunjie heshima niliyonayo juu yako..... wamakonde waliopo mkoa wa mtwara asilimia 90 ni waislamu sasa watakulaje kitimoto?

Wanakula sana maana mitaa ya veta kule ukichelewa saa sita mchana unakuta kitu kimeisha hawana hata mfupa
 
Kwahali hiyo utasema wanaojaa makanisa ya mtwara mjini pale siku ya jumapili ni waislamu
Ndio. Kwasababu hule mwezi wa kinafiki eti mtukufu mnabadilisha mchana kuwa usiku mkijishindisha njaa kwa kumuabudu mungu wa kiarabu kiti moto inadoda balaa
 
Niko Ujiji natafuta Kitimoto siku nzima lakini wapi.
Nimeongea na wenyeji hapa wananiambia hata wenyewe asilimia karibia 70 wanamtumia shida huwa inakuwa ni wanaogopa macho ya watu kwa hiyo inabidi waende mbali kidogo.
Nataka kuwa nafanya delivery mpaka home unajifungia ndani na familia yako inapiga vitu.
Mdudu Kwanza Mambo mengine baadae.
Labda uweke na kamchape
 
Back
Top Bottom