Brother heshima yako ni kubwa mno humu jamii forum sitegemei nikuvunjie heshima niliyonayo juu yako..... wamakonde waliopo mkoa wa mtwara asilimia 90 ni waislamu sasa watakulaje kitimoto?
Wanakula sana maana mitaa ya veta kule ukichelewa saa sita mchana unakuta kitu kimeisha hawana hata mfupa