DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 18,289
- 46,308
Mama anaweza kuwa na weakness Ila. Weakness kubwa zimejitokeza uchaguzi wa 2020 hivyo binafsi Kwa upande wangu mitano tena.
Mm nadhani tumuandalie biashara ya kuuza urojo
HahahaTukikaa kimya mama anaweza kudhani anaupiga mwingi sana na kila kitu kinaenda vizuri.
Shida ilianzishwa na Rais Jpm na tuliwambia kwamba huko mbeleni mtavuna matunda ya matendo haya.Mama anaweza kuwa na weakness Ila. Weakness kubwa zimejitokeza uchaguzi wa 2020 hivyo binafsi Kwa upande wangu mitano tena.
Shida ilianzishwa na Rais Jpm na tuliwambia kwamba huko mbeleni mtavuna matunda ya matendo haya.
Mama anajitahidi kurejesha hali lakini it is beyond Repair
Ndoto yake alisema mwenyewe kupaa
🤣🤣🤣Badala ya shamba mnunulieni kachopa, anapenda sana kuruka angani
Tangu wakati ule tuliwambia watu mambo yanavyokwenda Mtakwama huko Mbele ...bahati mabya hata Yeye Mwenyewe hakutusikiliza.Huo ndo ukweli mkuu ,
J p m ameacha mashimo makubwa kizimkazi anashindwa kuyafukia maana inamuhitaji miaka 10 na kuendelea ili kufukia mashimo.
Hahaa kwa hio watu wa Gamboshi ndo wampaisheTunawaachia watu wa Gamboshi. Msukuma anafaa kuwa dalali.
Wewe una shamba?Ni jambo jema kabisa,
Nchi hii ni ya wakulima na wafanyakazi,
KILIMO ni Cha kujivunia, na alivyo na wajukuu wengi kina ChoiceVariable na Lucas mwashambwa mambo yataenda vizuri.
Urais hautafutwi kwa jitiada kubwa, utateleza!!
Mzee wetu Hafidh ni mdau wa Sigara,pia itasaidia kupunguza gharama za maishakwanin tumbaku 😅😅😅😅
Tunachangia anunuliwe shamba Ili mkalime na ninyi.Wewe una shamba?
🤔🤔🤔Mzee wetu Hafidh ni mdau wa Sigara,pia itasaidia kupunguza gharama za maisha
Wasiliana na mbinguni kwanza maana makonda kasema wameshamchukulia fomu ya kugombea uraisJana nilishtuka baada ya kuona wakinamama waliochanga mil 200 ya kumchukulia mama Samia fomu ya kugombea urais.
Tukikaa kimya mama anaweza kudhani anaupiga mwingi sana na kila kitu kinaenda vizuri.
Nataka kuanzisha Harambee ya kumnunulia mama Samia 2025 ili aachane na siasa.
Shamba atanunuliwa maeneo ya Lumbe Kaliua ambapo atajikita katika kilimo cha tumbaku.
Hii ni kwa ajili ya kucounterbalance na wale wanaodhani mama anaupiga mwingi.
Niko safarini kuelekea Kaliua kuanza mchakato wa kupata shamba.
Wewe unalima wapi?Tunachangia anunuliwe shamba Ili mkalime na ninyi.
Umekuwa mnyonge ghafula,Wewe unalima wapi?