Nataka kuahirisha kuoa Oktoba Mwaka huu

Tatizo lako lilianzia pale ulipowatangazia hata wale uliowaaminisha kuwa utawaoa na haikuwa hivyo.

Kwa nini mnatangaza sana uchumba kuliko ndoa?
Kikulacho kinguoni mwako.

Ktk vitu ambavyo havishauriwi kuvichelewesha ni vitatu
1. Ndoa
2. Kuzika
3. Kusilimu

Hivi vitu huwa vina fitna nyingi ndani yake.
Tafadhali usihairishe km huyo mke mtarajiwa hajakukosea
Hyo ya kuzika na kusilimu jamaa zetu wenye mahusiano na Waarabu huwa wanaifanya faster..


Sent from my V2027 using JamiiForums mobile app
 
Wadau nisaidie kimawazo na Ushauri Mwaka huu Mwez October ni harusi yangu ila Gafla imetokea sitaki kusikia kitu kuhusu ndoa kabisa.

Inshort sitaki kuoa Mwaka huu hata mwanamke nayetaka kumuoa sitaki hata kumuona nimetokea kumchukia Namuona hadi ni kero kwangu

Taratibu zote za harusi tayari ila nataka kuahirisha kufunga ndoa mwaka huu nifanyaje ili hii harusi isifungwe mwaka huu nimechanganyikiwa
Mmachame atakunyonga
 
Na ukioa utajutia, em fanya kile moyo umekuelekeza.Inaumiza kama umemwachia mimba ila kama yuko poa we waambie navuta mpaka mwakani afu ndani ya mahusiano tafuta sababu mchunie jumla
 
Waambie ndugu na jamaa na huyo mkeo mtarajiwa kua umekua shoga unataka uolewe na kwamba huhitaji mwanamke tena bali unataka mwanaume wa kukuoa.
 
Nini kuchanganyikiwa, jifanye umekufa kabisa…. uchawi wa huyo binti umeisha sasa akili imerudi.
 
Labda ungeleta za sababu za msingi.

Ila niulze tuu kwenye mahusiano mko kwa muda gani?

NB:-usikute ulilogw na demu huyoo
 
Weka sababu za kumchukia hadharani. Haiwezekani ghafla tu KE uliyempenda hadi kumchumbia ukamtambulisha kwenu na ukakubali kutambulishwa kwao na kukamilisha process zote za harusi hutaki hata kusikia jina lake. KULIKONI!?

Wadau nisaidie kimawazo na Ushauri Mwaka huu Mwez October ni harusi yangu ila Gafla imetokea sitaki kusikia kitu kuhusu ndoa kabisa.

Inshort sitaki kuoa Mwaka huu hata mwanamke nayetaka kumuoa sitaki hata kumuona nimetokea kumchukia Namuona hadi ni kero kwangu

Taratibu zote za harusi tayari ila nataka kuahirisha kufunga ndoa mwaka huu nifanyaje ili hii harusi isifungwe mwaka huu nimechanganyikiwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom