Wakuu kwema?
Naombeni ushauri mimi nafanya kazi sehemu x ila nataka kuacha kazi sababu nalipwa 3000 kwa siku hiyo hiyo nifanyie Kila kitu kula, kodi, kuvaa yani Kila kitu nimefanikiwa kufanya ujanja ujanja mwingi kazin hadi nimesevu milion moja kwa miaka miwili ila Sasa ujanja unakuwaga na mwisho😂😂😂.
Nataka kwenda Dar es Salaam kutafuta zaid nianze upya. Ushauri wenu wakuu🙏🙏🙏nikifika Dar nianzaje maana sijawah kufika kabisa.
Naombeni ushauri mimi nafanya kazi sehemu x ila nataka kuacha kazi sababu nalipwa 3000 kwa siku hiyo hiyo nifanyie Kila kitu kula, kodi, kuvaa yani Kila kitu nimefanikiwa kufanya ujanja ujanja mwingi kazin hadi nimesevu milion moja kwa miaka miwili ila Sasa ujanja unakuwaga na mwisho😂😂😂.
Nataka kwenda Dar es Salaam kutafuta zaid nianze upya. Ushauri wenu wakuu🙏🙏🙏nikifika Dar nianzaje maana sijawah kufika kabisa.