Hongera yako Dar njoo na akili zako tu tabia za wenyeji utazikuta hukunimefanikiwa kufanya ujanja ujanja mwingi kazin hadi nimesevu milion moja kwa miaka miwili
Sio kweli apate mtu mzuri tu wa KUMUONGOZA auze hata Samaki uswahilini anatoboaMilioni 1 kwa dar ni ndogo sana hasa kwa wewe mgeni, dar inahitaji ujanja mwingi ujue konakona nyingi, wewe ukija mpk upazoee hiyo milioni ishaisha. kwa milioni yako hiyo ni dhahiri utakuja kuchuna na mgambo, manguli na washirikina wakubwa pale mtaa wa congo
Sure nilishahi kumshauri ndugu yangu hivi akapuuzia,akafungua Banda la chips kilichokuta,xo anunue piki piki hata jutaHyo million tanguliza pikipiki za mkopo uwe boda