Nataka kuacha kazi

ingekuwa ni mimi, natafuta pikipiki iliyotumika yenye hali nzuri ya 800k kwa ajili ya kupigia boda, inayobaki nafungua mradi mdogo wa ufugaji. wakati naingiza vimia kutoka kwenye boda huku nasubiria mradi wangu uoomae uanze kunilipa. Kwa kijiijini ukiwa na uwezo wa kufunga siku na 10,000 ni kubwa sana kwa sababu mahitaji mengi yanapatikana bila garama au garama kidogo sana tofauti na dar.

Milioni 1 kwa dar ni ndogo sana hasa kwa wewe mgeni, dar inahitaji ujanja mwingi ujue konakona nyingi, wewe ukija mpk upazoee hiyo milioni ishaisha. kwa milioni yako hiyo ni dhahiri utakuja kuchuna na mgambo, manguli na washirikina wakubwa pale mtaa wa congo
 
Milioni 1 kwa dar ni ndogo sana hasa kwa wewe mgeni, dar inahitaji ujanja mwingi ujue konakona nyingi, wewe ukija mpk upazoee hiyo milioni ishaisha. kwa milioni yako hiyo ni dhahiri utakuja kuchuna na mgambo, manguli na washirikina wakubwa pale mtaa wa congo
Sio kweli apate mtu mzuri tu wa KUMUONGOZA auze hata Samaki uswahilini anatoboa
 
Back
Top Bottom