Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,694
Geita fursa gani mkuu
nipe hint maana hali tete
Kama.nilivyosema
Geita fursa gani mkuu
nipe hint maana hali tete
Atampunguzaje siku ikiwa kila siku anatakiwa kenda na kusign ujue maboss wengine wakudaKama ni kazi ya serikali punguza mda na siku za kwenda kazini utafute shughuri zingine hata ya kuhudumia kuku
Umesema unakiwanja Fanya hivi kisaminishe benki wakupe mkopo harafu usirufishe mkopo hata wakija kupiga bei hicho kiwanja huna haja nacho
ACHA KAZI.Nahisi nikiacha kazi nitapata msukumo wa kujua Cha kufanya
Kazini napoteza muda tu kiukwel
Nina mpango wa kufungua kampuni,nishaandaa Hadi momerandum,nahangaikia kuisajil tu
Then nijitose,huenda nikikosa hata hiyo 220k nitapata akil Zaid na hasira ya kufanya vizuri zaid
Ukiacha Kazi Ndo Utauza Mbunye Vizuri.Teh teh teh wangejua nimepigika hadi najichukia,naichukia hata kazi yangu
Laiti ningalijua nisingeajiriwa serikalin,nilikuwa private Kwa mwaka mmoja ,walipotangaza ajira kiherehere nikajitosa,kumbe naingia pori la miiba
Halafu plot zenyewe ni potential sema hamna wanunuzi,kimoja Cha makazi nilichojenga,kingine nilipanga kujenga mjengo wa kustaafia sema naona dream zi ebadilika na upepo,na Cha mwisho ni industrial plot hiki,nilipanga nipate mwekezaj tuingie partinership sema disko limeingia mmasai.
Ulisoma kozi gani miaka 4?No kabla bodi hawajaanza nikata nilikuwa napokea kiasi kinachokidhi matumizi ya nyumbani,walipoanza kunikata ndipo tatizo lilianza,manake nililetewa Deni la tshs mil 18 Kwa miaka 4 niliyokuwa chuo kwani nilipata mkopo 100%.
Pole sana dada mimi nakushauri usiache kazi, mambo magumu sio wewe tu tuko wengi mimi ni mmoja wapo ukiacha kama huna kitu kingine cha kufanya yaani unategemea kuanza itakupa shida na watoto, haya mambo ni ya muda tu yataisha nashauri uvumilie tu., miaka 5 sio mingi.Habari za asubuhi wana jukwaa.
Mie ni mtumishi wa umma na niliajiriwa mwaka 2013.Nina watoto wawili wa kiume,Nina viwanja vitatu ambapo kimoja nimejenga nyumba iliyoishia kwenye linta.
Toka aingie mkulu maisha yamekuwa magumu Sana,si furahii kazi yangu hata kidogo naenda tu kazini kuonekana nipo.Na siyo kuwa ni mpiga madili Wala,zamani tulikuwa tunapata hata viextra duty vinatuboost mwezi unaisha,ila saivi Nina mwaka wa tatu siijui posho.Tulikuwa tunaenda kazini hadi jmos angalau tupate chochote tulishe family.
Nimejaribu kuuza kiwanja kimoja at least nimalizie nyumba nihamie,manake Kodi inanitesa Sana huku nilikopanga ila nimekosa mteja.wanangu wanasoma mmoja baby class na mwingine class one.Bado mfanyakazi kumlipa hapo hujasaidia ndugu wanao ona nalipwa mamilioni ilihali mwisho wa mwezi napokea laki mbili na ishirini(220,000) ambayo haikidhi mahitaj yote.
Am a single parent kwahiyo mimi ndiyo baba na mama kwa wanangu.Baba yao tuliachana akaoa,na alitaka wachukua watoto ila sikuwa tayari kuacha wanangu wa under 7 years walelewe na mama wa kambo,hivyo kawasusa hatoi hata Senti tano kwaajili yao,so am their only hope.
Naona napoteza muda,nimeshafikiria hata kujirusha ghorofan ili nitoweke duniani ila nikiwafikiria wanangu roho inauma naona sitawatendea haki.So nimewaza nikaona si bora niache kazi,niuze Kila nilichonacho ingawa wateja wanakuwa tabu,nihame mji,nende sehemu nyingine nikaanze upya.Nimewaza pia kufanya nite business at least watoto wale na nipate Kodi ya nyumba,sema dhamira inakataa.
Mkuu hata Kama tulikuudhi tusamehe,tunadhalilika na familia zinateseka.Binafsi sioni faida ya kuitwa mtumishi wa umma ilhali Kuna wakati nakosa hadi nauli ya daladala kwenda kazini.Pia toka nimeajiriwa sijawahi panda cheo.
Naombeni ushauri wadau nifanyeje?je niache kazi?then niende wapi ama nifanye Nini baada ya kuacha kazi,Ningekuwa Sina watoto ningeshaondoka kitambo,tatizo mustakabali wa maisha ya wanangu utakuwaje,nikiwaza Hilo nachoka,naishia kumwaga machozi kama mtoto.
Kampuni gani dada? Ujenzi? Kama ndio basi inabidi upate ofisi, water bowser , gari n.kNahisi nikiacha kazi nitapata msukumo wa kujua Cha kufanya
Kazini napoteza muda tu kiukwel
Nina mpango wa kufungua kampuni,nishaandaa Hadi momerandum,nahangaikia kuisajil tu
Then nijitose,huenda nikikosa hata hiyo 220k nitapata akil Zaid na hasira ya kufanya vizuri zaid
HahahahaKazi Mbaya ukiwa nayo
Hahahaha, mkuu pitia tena thread maana mtoa maada ana mikopo miwili, bodi na huo mwingineUmesema unakiwanja Fanya hivi kisaminishe benki wakupe mkopo harafu usirufishe mkopo hata wakija kupiga bei hicho kiwanja huna haja nacho
Kujiajiri wapi? Jaribu kuingia hoteli nyingine zinauza vyakula viporo; vyakula haviishi wanalaza. Biashara yenye unafuu labda baa angalau kila chupa unayofungua kuna vishilingi umejiongezeausiache kazi, utadhalilika zaidi nashauri uendelee na kaihuku ukitengeneza namna nyingine kama kujiajiri nk ni ngumu sana kupata kazi ya serikali, kazi za watu binafsi watu wanadhalilika zaidi kuliko za serikali
Kozi za miaka 4 sana sana hua Engineering,Ulisoma kozi gani miaka 4?
sikumsupport aache kazi aende akajiajiri, kulingana na risk kama hizo, piahata kama i kwenye ajira akute anajaribu nje ya box! ila umeandika kwa specific evidence, mkuu utakuwa una hotel au baa naomba kazi mm sina kaziKujiajiri wapi? Jaribu kuingia hoteli nyingine zinauza vyakula viporo; vyakula haviishi wanalaza. Biashara yenye unafuu labda baa angalau kila chupa unayofungua kuna vishilingi umejiongezea
Napataga chakula cha mchana; kwa uzoefu wangu ndani ya wiki moja nimelishwa viporo hotel nne tofauti; nakula leo nagundua ni kiporo nahamie ingine nalishwa kipo hadi sasa nakula nyama choma au nashindia karanga. Hali si hali na afya yangu hainiruhusu kila chips ambazo kwa kiasi fulani ni fresh kuliko vyakula vya kwenye sufuriasikumsupport aache kazi aende akajiajiri, kulingana na risk kama hizo, piahata kama i kwenye ajira akute anajaribu nje ya box! ila umeandika kwa specific evidence, mkuu utakuwa una hotel au baa naomba kazi mm sina kazi