Nataka kuacha kazi .

Nataka kuacha kazi .

Sina Kijiji cha kupeleka wanangu kwani walonilea walishafariki
Walobak wote wananiangalia mie ambao ndo warithi wa walezi wangu,nyumba nzima walishapangisha hata chumba nilichokuwa naishi mimi walishapangisha
Wamebak watoto za walez wangu marehemu na ndio warithi ,wakagawana vyumba na kuvipangisha vyote wanapokea Kodi Kila mmoja,mie nililelewa tu pale baada ya wazaz wangu kufariki.
Kama hiyo nyumba ipo hapahapa mjini, hao walezi labda wangekupatia chumba hapo ukawa unaishi hapo ukaokoa hela ya kodi.

Kama hawawezi kukupatia hata chumba na kodi yote wanachukua halafu bado wanakuomba msaada, usipowapa msaada naona ni fair

Halafu, inakuaje hadi unapata mshahara wa 220k, ni mkopo ulichukua? Kama ni mkopo, utaisha lini?
 
Hayo ni mapito tu,Maisha yetu yalivyo ni kama uonavyo season za vipindi vya majira katika mandhari zetu kama kuna kipindi cha joto,Masika,vumilia maisha ndivyo yalivyo,Na pia kama unauwezo jaribu kutafuta mume uolewe huenda mawazo yakakupungikia
Uoe singo parent mwenye watoto wawili wa mwanaume mwingine?!!!
 
post yako inaonesha kuna kitu nyuma ambacho ndio shida kubwa kwako na sio hivyo ilivyotaja. Na kwa haraka haraka ni kama unadeni "mkopo" na hauwezi kuulipa kwa wakati.

Pambana, si kuna msemo wa wanawake mnaweza, mara malkia wa nguvu !!?.... Ndio mahali pale hapo sasa, hakuna kukata tamaa.
Btw, ikiwa una muamini Mungu, omba sana, sio kilegevu, omba kwelikweli, omba mpaka kitu kitokee. Mungu hata siku moja hataacha kukukirimia mahitaji yako.
 
usiache kazi, utadhalilika zaidi nashauri uendelee na kaihuku ukitengeneza namna nyingine kama kujiajiri nk ni ngumu sana kupata kazi ya serikali, kazi za watu binafsi watu wanadhalilika zaidi kuliko za serikali
Hiii Chukua kwa Mikono Miwili
 
Nadhani hiyo Plan B. Yako bado inahitaji maandalizi ya kutosha! Endelea kujipanga kwanza.....kwa sasa utadhalilika.
 
Napataga chakula cha mchana; kwa uzoefu wangu ndani ya wiki moja nimelishwa viporo hotel nne tofauti; nakula leo nagundua ni kiporo nahamie ingine nalishwa kipo hadi sasa nakula nyama choma au nashindia karanga. Hali si hali na afya yangu hainiruhusu kila chips ambazo kwa kiasi fulani ni fresh kuliko vyakula vya kwenye sufuria
pole sana mkuu, hali si shwari biashara zinayumba sana
 
Kwenye hiyo 220k,toa 100k Kila mwezi ya ada za watoto,inabaki,120k,hujanunua chakula,maji na matumizi mengineyo ya nyumbani,hapo hakuna hata nguo mpya kumbuka

Jamaa nilishamtoa akilini manake nilimsihi Sana anisaidie,akawa anasema atatuma ila akawa hatoi,so nikaacha kumwomba
Hali ni ngumu sana,bado Kodi ya nyumba,inakatisha tamaa kwakwel
Kitu cha kwanza somesha watoto shule za kawaida mpk mambo yatakapokaa sawa,ishi nyumba ya bei nafuu na nunua vyakula vya jumla.Pia kula ili uishi,acha kula kwa anasa yaani vile unavyovipenda/kuvitamani.
Mungu atakusaidia.
 
Habari za asubuhi wana jukwaa.

Mie ni mtumishi wa umma na niliajiriwa mwaka 2013.Nina watoto wawili wa kiume,Nina viwanja vitatu ambapo kimoja nimejenga nyumba iliyoishia kwenye linta.

Toka aingie mkulu maisha yamekuwa magumu Sana,si furahii kazi yangu hata kidogo naenda tu kazini kuonekana nipo.Na siyo kuwa ni mpiga madili Wala,zamani tulikuwa tunapata hata viextra duty vinatuboost mwezi unaisha,ila saivi Nina mwaka wa tatu siijui posho.Tulikuwa tunaenda kazini hadi jmos angalau tupate chochote tulishe family.

Nimejaribu kuuza kiwanja kimoja at least nimalizie nyumba nihamie,manake Kodi inanitesa Sana huku nilikopanga ila nimekosa mteja.wanangu wanasoma mmoja baby class na mwingine class one.Bado mfanyakazi kumlipa hapo hujasaidia ndugu wanao ona nalipwa mamilioni ilihali mwisho wa mwezi napokea laki mbili na ishirini(220,000) ambayo haikidhi mahitaj yote.

Am a single parent kwahiyo mimi ndiyo baba na mama kwa wanangu.Baba yao tuliachana akaoa,na alitaka wachukua watoto ila sikuwa tayari kuacha wanangu wa under 7 years walelewe na mama wa kambo,hivyo kawasusa hatoi hata Senti tano kwaajili yao,so am their only hope.

Naona napoteza muda,nimeshafikiria hata kujirusha ghorofan ili nitoweke duniani ila nikiwafikiria wanangu roho inauma naona sitawatendea haki.So nimewaza nikaona si bora niache kazi,niuze Kila nilichonacho ingawa wateja wanakuwa tabu,nihame mji,nende sehemu nyingine nikaanze upya.Nimewaza pia kufanya nite business at least watoto wale na nipate Kodi ya nyumba,sema dhamira inakataa.

Mkuu hata Kama tulikuudhi tusamehe,tunadhalilika na familia zinateseka.Binafsi sioni faida ya kuitwa mtumishi wa umma ilhali Kuna wakati nakosa hadi nauli ya daladala kwenda kazini.Pia toka nimeajiriwa sijawahi panda cheo.

Naombeni ushauri wadau nifanyeje?je niache kazi?then niende wapi ama nifanye Nini baada ya kuacha kazi,Ningekuwa Sina watoto ningeshaondoka kitambo,tatizo mustakabali wa maisha ya wanangu utakuwaje,nikiwaza Hilo nachoka,naishia kumwaga machozi kama mtoto.
Hii Ndiyo Hali Halisi ya Watumishi wa Sasa
Kwanza Usizani Uko peke yako
Tuko wengi mno
Kazi Usiache
Biashara Ingekua Dili Ungeona kila jilani yako mjasiriamali anakua milionea
Nje ya utumishi ndio kugumu sana maana na wao wanawategemea wafanyakaz na mfanyakaz mwenyewe ndio wewe
Hali ya Utumishi kwa sasa ni ngumu sana ila yatupasa kuvumilia coz ni upepo tu huu, utapita mantahofu
Kikubwa Review Mapato na Matumizi yako uyaadjust accordingly, ondoa luxuries
Watoto warudishe kayumba tu mpk hali itakapokaa sawa
 
Habari za asubuhi wana jukwaa.

Mie ni mtumishi wa umma na niliajiriwa mwaka 2013.Nina watoto wawili wa kiume,Nina viwanja vitatu ambapo kimoja nimejenga nyumba iliyoishia kwenye linta.

Toka aingie mkulu maisha yamekuwa magumu Sana,si furahii kazi yangu hata kidogo naenda tu kazini kuonekana nipo.Na siyo kuwa ni mpiga madili Wala,zamani tulikuwa tunapata hata viextra duty vinatuboost mwezi unaisha,ila saivi Nina mwaka wa tatu siijui posho.Tulikuwa tunaenda kazini hadi jmos angalau tupate chochote tulishe family.

Nimejaribu kuuza kiwanja kimoja at least nimalizie nyumba nihamie,manake Kodi inanitesa Sana huku nilikopanga ila nimekosa mteja.wanangu wanasoma mmoja baby class na mwingine class one.Bado mfanyakazi kumlipa hapo hujasaidia ndugu wanao ona nalipwa mamilioni ilihali mwisho wa mwezi napokea laki mbili na ishirini(220,000) ambayo haikidhi mahitaj yote.

Am a single parent kwahiyo mimi ndiyo baba na mama kwa wanangu.Baba yao tuliachana akaoa,na alitaka wachukua watoto ila sikuwa tayari kuacha wanangu wa under 7 years walelewe na mama wa kambo,hivyo kawasusa hatoi hata Senti tano kwaajili yao,so am their only hope.

Naona napoteza muda,nimeshafikiria hata kujirusha ghorofan ili nitoweke duniani ila nikiwafikiria wanangu roho inauma naona sitawatendea haki.So nimewaza nikaona si bora niache kazi,niuze Kila nilichonacho ingawa wateja wanakuwa tabu,nihame mji,nende sehemu nyingine nikaanze upya.Nimewaza pia kufanya nite business at least watoto wale na nipate Kodi ya nyumba,sema dhamira inakataa.

Mkuu hata Kama tulikuudhi tusamehe,tunadhalilika na familia zinateseka.Binafsi sioni faida ya kuitwa mtumishi wa umma ilhali Kuna wakati nakosa hadi nauli ya daladala kwenda kazini.Pia toka nimeajiriwa sijawahi panda cheo.

Naombeni ushauri wadau nifanyeje?je niache kazi?then niende wapi ama nifanye Nini baada ya kuacha kazi,Ningekuwa Sina watoto ningeshaondoka kitambo,tatizo mustakabali wa maisha ya wanangu utakuwaje,nikiwaza Hilo nachoka,naishia kumwaga machozi kama mtoto.
Jiongeze. Tafuta sehemu jion upike vi-bites, au choma mahindi, au anzisha genge la kichaga, au omba uhamisho uende karibu na kwenu, au omba uhamisho uende sehemu ambayo utafanya shughuri za kilimo.

Ila

Usiache kazi, utakuwa muuza ngozi wa ovyo kabisa. Utapigwa hata kwa buku
 
Daaah!pole sana mkuu,.Nionavyo Mimi ambaye nimechelewa ni mjinga sikusoma tatizo lako la kwanza umekata tamaa. Hope is the last thing you need to lose.if you loose hope you are dead. Ngoja nimuambie kitu binti,
If you want to travel faster than you have to travel light. Acha mzigo mizito mkuu.
Mizito uliyonayo
1.watoto
Najua unawapenda sana kwa sababu ya uchungu uliopata wakati WA kuwaleta duniani, Mpe baba yao,usitake kujua wanatesekaje Kwa mama wa kambo, watakua tu baba yao hawezi kuwaua.

2.Elimu
Kama option one imeshindikana Pliz wapeleke kayumba
3 Nyumba
Kakae nyumba mbaya ya bei rahisi
Mwisho anzisha kampuni ukiwa Kazini ili ufanye tathmini ya uwekezaji wako
Usijiue,watu wanaojiua ni waoga.
 
Mamii...nakuelewa sana...tena mno..hivi mm hapa niko kwenye mchakato wa kumshauri Mr ateme kazi ..mmepishana kidogo sana...yaan mm alifika kipindi akawa anakopa CRDB ile akipata mshahara wanafyeka chao then anakopa tena ya mwezi...

Acha woga...hapo shoga utapiga marktime za kufa mtu..hebu ufuate ushauri wa@Khan..!tena bora ww..kamaliza Msc 2012 ila mpk leo hajaanza kulipwa..alafu alivyo ccm damu..ahhaa may mosi akaniambia dogo mie nahamia ACT..niongoze sala ya toba..jaman maisha ya wafanyakazi wa serikalin ni magumu mno mno nyie jaman...Kama unaweza njoo machimboni tupige hela!nw mtumishi wa serikali ukimtumia laki 1 Anakushukuru Mwezi mzima!
Kuna mikoa mingne nuksi tu kuishi..hela inapatikana kwa mbinde sana . hama huko njoo geita my dear jipe 8mths..tutakuita boss mama (weka hela pata mapesa)

na kama utahitaj kushikwa mikono nipo hapa..pole!
Mkuu nahitaji tuongee hii ishu
 
Usitegemee kipato cha serikali unakufa masikini.uza uwanja mmoja fungua biashara.niambie upo mkoa gani ntakuambia ufanye biashara.usifikirie kufa kisa maisha mungu akutie moyo wa ujasiri
kwa Mkoa wa Geita Fursa gani
 
pole sana ila kama wachangiaji waliotangulia walivyo kushauri, nyakati ngumu huwa hazidumu milele. usiogope kufungua biashara hata kama ni ya ndizi mbivu unanunua sokoni shilingi hamsini unazivundika alafu unauza kwa sh. 200 au 150. na usiogope fedheha kwa watu na ukiogopa hata kujishughulisha hata ungelipwa milioni ungelalamika tu.
 
Habari za asubuhi wana jukwaa.

Mie ni mtumishi wa umma na niliajiriwa mwaka 2013.Nina watoto wawili wa kiume,Nina viwanja vitatu ambapo kimoja nimejenga nyumba iliyoishia kwenye linta.

Toka aingie mkulu maisha yamekuwa magumu Sana,si furahii kazi yangu hata kidogo naenda tu kazini kuonekana nipo.Na siyo kuwa ni mpiga madili Wala,zamani tulikuwa tunapata hata viextra duty vinatuboost mwezi unaisha,ila saivi Nina mwaka wa tatu siijui posho.Tulikuwa tunaenda kazini hadi jmos angalau tupate chochote tulishe family.

Nimejaribu kuuza kiwanja kimoja at least nimalizie nyumba nihamie,manake Kodi inanitesa Sana huku nilikopanga ila nimekosa mteja.wanangu wanasoma mmoja baby class na mwingine class one.Bado mfanyakazi kumlipa hapo hujasaidia ndugu wanao ona nalipwa mamilioni ilihali mwisho wa mwezi napokea laki mbili na ishirini(220,000) ambayo haikidhi mahitaj yote.

Am a single parent kwahiyo mimi ndiyo baba na mama kwa wanangu.Baba yao tuliachana akaoa,na alitaka wachukua watoto ila sikuwa tayari kuacha wanangu wa under 7 years walelewe na mama wa kambo,hivyo kawasusa hatoi hata Senti tano kwaajili yao,so am their only hope.

Naona napoteza muda,nimeshafikiria hata kujirusha ghorofan ili nitoweke duniani ila nikiwafikiria wanangu roho inauma naona sitawatendea haki.So nimewaza nikaona si bora niache kazi,niuze Kila nilichonacho ingawa wateja wanakuwa tabu,nihame mji,nende sehemu nyingine nikaanze upya.Nimewaza pia kufanya nite business at least watoto wale na nipate Kodi ya nyumba,sema dhamira inakataa.

Mkuu hata Kama tulikuudhi tusamehe,tunadhalilika na familia zinateseka.Binafsi sioni faida ya kuitwa mtumishi wa umma ilhali Kuna wakati nakosa hadi nauli ya daladala kwenda kazini.Pia toka nimeajiriwa sijawahi panda cheo.

Naombeni ushauri wadau nifanyeje?je niache kazi?then niende wapi ama nifanye Nini baada ya kuacha kazi,Ningekuwa Sina watoto ningeshaondoka kitambo,tatizo mustakabali wa maisha ya wanangu utakuwaje,nikiwaza Hilo nachoka,naishia kumwaga machozi kama mtoto.
Mikopo inatutesa sanaa Watumishi wa Umma.

#YNWA
 
Mkuu kama sijakosea nimeona sehemu umesema una viwanja vitatu? Uza kimoja, fungua kijiofisi simple tu, kisha hapo uza maziwa, popcorn, juisi za matunda, maji na vingine jiongeze mwenyewe, kisha achana na hiyo kazi, utarudi kunishukuru, juice glass 1000.
 
Back
Top Bottom