Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,998
Bravo mmkjj
B blessed
Natafuta wasambazaji!! au ndio maneno matupu ya mabadiliko na kupinga ufisadi tu lakini kwenye vitendo ni watupu? nawashukuru mnaotoa pongezi, lakini kwa kweli ninachotafuta ni watu hizi pongezi zije baada ya kufanikiwa. Hadi hivi sasa ni mtu mmoja tu yuko tayari toka Bukoba!!
Mkuu, umecheck PM yako?
Bravoo!
Movement for "Attitude Change" Lakini kusiwe na Element za kisiasa, unajua watu tayari wamelishwa sumu mbaya kuhusiana na Siasa, kwa hiyo hii movement iwe ya kijamii (social) zaidi. hata wakitoa Photocopy ya kawaida inatosha.
Bravoo!
Movement for "Attitude Change" Lakini kusiwe na Element za kisiasa, unajua watu tayari wamelishwa sumu mbaya kuhusiana na Siasa, kwa hiyo hii movement iwe ya kijamii (social) zaidi. hata wakitoa Photocopy ya kawaida inatosha.
nakupata vizuri kabisa; tatizo moja la siasa ni kuwa ni sehemu ya maisha ya jamii nzima.
Siyo mahali pa indocrination..
Ni kweli labda tuseme tunavyoanza tusionyeshe tupo biased, kwanza anayemtawala Mtanzania sasa hivi ni Mwanasiasa Fisadi. Nilianzisha Movement huko wilayani Makete ya kupambana na mafisadi wa Hlamshauri na Pesa za UKIMWI tulifanikiwa sana. Na nimekuwa na wazo kama hili la kuanzisha kijalida kwa miaka 3 sasa nilishindwa kwa kukosa resources. Bahati mbaya nimesafiri lakini nitawasiliana na wapiganaji wenzangu huko wagawe hicho kijalida.
Naattach design ya Kijalida chetu. (the layout is copy right protected), Tulikuwa tumekidesign katika pdf, Word na Publisher. Mkuu songa mbele! Daima Mbele
Naattach design ya Kijalida chetu. (the layout is copy right protected), Tulikuwa tumekidesign katika pdf, Word na Publisher. Mkuu songa mbele! Daima Mbele
Nimependa hiyo sana Mbogela. Ninachohitaji pia ni habari kutoka sehemu mbalimbali.
Nimekiona nami pia nakupa Big up lakini ili wa huko Makete pia wakisome nadhani tumia pia Lugha ya Taifa (Kiswahili) ili nao wakisome kwani nimeona kipo katika Lugha moja tu ambayo nadhani wengi hasa ambao ni walengwa wanapaswa kubadilishwa wanaweza kushindwa soma na ujumbe usifike.
nakupata vizuri kabisa; tatizo moja la siasa ni kuwa ni sehemu ya maisha ya jamii nzima. Ni vigumu kuangalia masuala mengine ya jumuiya pasipo kuingiza siasa. Uzuri wa kijarida hicho (nikisema hivyo mwenyewe) ni kuwa kina lengo la kumfanya mtu afiikiri na kuuliza maswali; na zaidi hayo yeye mwenyewe kutafuta majibu.
Siyo mahali pa indocrination..
Natafuta wasambazaji wa kijarida cha bure walioko Tanzania TU!! Mpango uliopo sasa ni kuwa kijarida hicho cha kutoka kwenye mtandao kitakuwa katika PDF file. Unachotakiwa kufanya (mchango wako) ni hivi:
Ya kujua:
- Kijarida kitakuwa na kurasa nne kama ukichapisha upande mmoja na kurasa mbili kama unachapisha mbele na nyuma.
- Kijarida kitakuwa na maoni/hoja nzito, habari, mambo ya mtandaoni (kama kutoka JF) na burudani, pamoja na habari za kiingiereza in brief.
- Kijarida ni cha bure kabisa kwa msomaji. Nitaingia gharama zote za kutengeneza.
Chezasalama.com said:Every two months we print 120 000 copies of Si Mchezo! (with an estimated 15 readers per copy) and distribute them free of charge or in a barter for transportation agreement to several hundred partner organizations in Tanzania including companies, civil society organizations and local government, particularly in the rural areas. Many large scale workplaces, such as the tea estates, use the magazine to educate their workforce and nearby communities.
Hatufanyi Printing kama yanavyofanya magazeti kwamba kuna central printing. Printers ni wasambazaji wenyewe.
- Unatarajia kusambaza copy ngapi kwa kipindi?
Kwa sasa sijui kwani kila msambazaji atatoa copy kwa kadiri ya uwezo wake, ila isiwe chini ya 10 kwa kila toleo.
Kwa kweli sitegemei kuungwa mkono na kundi lolote isipokuwa mtu mmoja mmoja.
- Ni makundi yapi unategemea yatakuunga mkono?
- Je, utafanya jitihada kuzishirikisha asasi za kijamii kwa mfano?
Hapana kwa kweli, asasi za kijamii zina majukumu yake na shughuli zake. Ila wao wakitaka kusambaza kijarida wako huru kusambaza kwa kadiri wapendavyo na kama wana habari ambazo wanataka zitoke tuko tayari kuzipokea. Lakini hakutakuwa na formal arrangement ya ushirikiano wa namna hiyo.