Wana JF naomba msaada wenu kwa Dar es Salaam naweza kupata wapi vitabu vya siku nyingi vya mwandishi mashuhuri Mohammed Said Abdulla. Nimetembea katika baadhi ya maduka ya vitabu bado sijafanikiwa kupata. Vitabu kama
1.Duniani kuna watu
2.Kisima cha Giningi
3.Mke Mmoja Watume Watatu
4.Siri ya sifuri
5.Mzimu wa watu wa kale
6.Kosa la bwana msa
Kwa waleo waliobahatika kusoma vitabu hivi bila shaka watakubaliana nami kwamba, vitabu hivi vilikuwa vya kipekee katika taaluma ya uandishi. Naombeni msaada wenu
1.Duniani kuna watu
2.Kisima cha Giningi
3.Mke Mmoja Watume Watatu
4.Siri ya sifuri
5.Mzimu wa watu wa kale
6.Kosa la bwana msa
Kwa waleo waliobahatika kusoma vitabu hivi bila shaka watakubaliana nami kwamba, vitabu hivi vilikuwa vya kipekee katika taaluma ya uandishi. Naombeni msaada wenu