Natafuta vitabu vya Mohammed Said Abdulla

mdau wetu

JF-Expert Member
Apr 20, 2011
548
58
Wana JF naomba msaada wenu kwa Dar es Salaam naweza kupata wapi vitabu vya siku nyingi vya mwandishi mashuhuri Mohammed Said Abdulla. Nimetembea katika baadhi ya maduka ya vitabu bado sijafanikiwa kupata. Vitabu kama
1.Duniani kuna watu
2.Kisima cha Giningi
3.Mke Mmoja Watume Watatu
4.Siri ya sifuri
5.Mzimu wa watu wa kale
6.Kosa la bwana msa
Kwa waleo waliobahatika kusoma vitabu hivi bila shaka watakubaliana nami kwamba, vitabu hivi vilikuwa vya kipekee katika taaluma ya uandishi. Naombeni msaada wenu
 
masahihisho: 3. mke mmoja waume watatu au mke mmoja wanaume watatu
 
Wana JF naomba msaada wenu kwa Dar es Salaam naweza kupata wapi vitabu vya siku nyingi vya mwandishi mashuhuri Mohammed Said Abdulla. Nimetembea katika baadhi ya maduka ya vitabu bado sijafanikiwa kupata. Vitabu kama
1.Duniani kuna watu
2.Kisima cha Giningi
3.Mke Mmoja Watume Watatu
4.Siri ya sifuri
5.Mzimu wa watu wa kale
6.Kosa la bwana msa
Kwa waleo waliobahatika kusoma vitabu hivi bila shaka watakubaliana nami kwamba, vitabu hivi vilikuwa vya kipekee katika taaluma ya uandishi. Naombeni msaada wenu
mdau wetu, ni kweli kabisa, mwandishi Mohamed Said Abdullah, Mzee MSA, ni mwandishi wa kipekee. Nadhani vitabu hivi havikuwahi kufanyiwa reprint, nilibahatika kuviona vichache used pale Masomo Bookshop Soko Kuu la Zanzibar.

Last week nilisikia mtu akizungumzia Kisima Cha Giningi kimetolewa upya.

Sehemu ambapo nakala za mwanzo zimehifadhiwa ni Maktaba Kuu ya Taifa ile sehemu ya reserve.

Ni mwandishi huyu aliyenisaidia sana kupanua vocabulary yangu ya Kiswahili kwa maneno kama 'maliwatoni'.

Pasco
 
Mi ninavyo viwili DUNIANI KUNA WATU NA MZIMU WA WATU WA KALE viko ktk hali poa ni pm tuongee biashara
 
nipe nambari yako ya simu au Email nitakuwa Dar kuanzia mei 22 nikutafute, kwa sasa nipo nje ya nchi
 
Mimi nimetokea Zanzibar karibuni, vipo badhi ya vitabu pale Masomo Bookshop, wasiliana nao, wapo karibu kabisa na marikiti kuu:israel::israel::israel::israel:
 
Wana JF naomba msaada wenu kwa Dar es Salaam naweza kupata wapi vitabu vya siku nyingi vya mwandishi mashuhuri Mohammed Said Abdulla. Nimetembea katika baadhi ya maduka ya vitabu bado sijafanikiwa kupata. Vitabu kama
1.Duniani kuna watu
2.Kisima cha Giningi
3.Mke Mmoja Watume Watatu
4.Siri ya sifuri
5.Mzimu wa watu wa kale
6.Kosa la bwana msa
Kwa waleo waliobahatika kusoma vitabu hivi bila shaka watakubaliana nami kwamba, vitabu hivi vilikuwa vya kipekee katika taaluma ya uandishi. Naombeni msaada wenu

ni pm ninavyo hivyo vitabu.
 
Kuna mdau anajua napoweza kupata kitabu cha ''SIKUNYONGWA''? Wahusika:
MZEE HEGAL KAARL UROOSE,
KABWE MAKANIKA,
BI. HALIMA,
PETER n.k.
Hivi vinaitwa UNYAMA WA MAFIA aliandika baba yake na BANANA mwanamuziki yaani ZAHIRI ALLY ZORO.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom