Mohammed Said ni mwanaharakati, mzalendo au mdini?

Waziri wa madini

JF-Expert Member
Jun 12, 2019
379
465
Naomba kuwasilisha hoja mezani tujadili kwa kina kuhusu mwandishi nguli wa historia ya siasa Tanzania ndugu Mohammed said,mtazamo wake na maandiko yake juu ya historia ya ukombozi wa Tanzania je tumuweke katika kundi lipi?na Kuna ukweli upi katika maandiko yake?

Kwa wajuzi na wafuatiliaji naombeni maoni na mtazamo wenu,kwa sababu juzi nimemnukuu ridhiwani kikwete akisema ikulu ilikuwa ni sehemu ya madrasa na Kuna maandishi ya Quran mlangoni alisema wakati wa kumbukumbu ya maisha ya Sharif Hussein badawiy.

Na ikumbukwe jambo hili ni moja katika miongoni mwa mengi ambayo amekuwa akielezea ndugu Mohammed said Mara kwa Mara katika makala zake zenye kuelezea nafasi ya wazee wakiislam katika ukombozi wa nchi.

Je ni kweli na Kama kweli mbona historia imefichwa hatuoni sehem yoyote katka vitabu vya mashuleni!

Je, ni ukweli uliofichwa au uongo uliotungwa?
 
Tangu babu zake wakina dully sykes wakose kuongoza hii nchi kwakuwa walikuwa vilaza walianzisha chuki na unafiki kwa J.K Nyerere na mfumo wa kanisa.
Utadhani walitumwa wawe vilaza.

#MaendeleoHayanaChama
Lakini mbona Kuna Mambo anayosema Kama Yana ukweli ndani yake kwa dalili za dhahiri Ila hatuoni ushahidi katika maandiko rasmi ya serikali
 
Mpaka sasa mtoa maada hajaonyesha udhaifu wa Mohammed
Mimi nataka wajuaji waniambie na wanichambulie maana nimepata utata kuona moja ya hoja zake zimethibitishwa na kiongozi wa serikali kwahiyo nahisi huenda mengi ayasemayo Yana ukweli ndani yake.japo nasita kumuamini bwana yule mzee wa mjini
 
Naomba kuwasilisha hoja mezani tujadili kwa kina kuhusu mwandishi nguli wa historia ya siasa Tanzania ndugu Mohammed said,mtazamo wake na maandiko yake juu ya historia ya ukombozi wa Tanzania je tumuweke katika kundi lipi?na Kuna ukweli upi katika maandiko yake?
Kwa wajuzi na wafuatiliaji naombeni maoni na mtazamo wenu,kwa sababu juzi nimemnukuu ridhiwani kikwete akisema ikulu ilikuwa ni sehemu ya madrasa na Kuna maandishi ya Quran mlangoni alisema wakati wa kumbukumbu ya maisha ya Sharif Hussein badawiy. Na ikumbukwe jambo hili ni moja katika miongoni mwa mengi ambayo amekuwa akielezea ndugu Mohammed said Mara kwa Mara katika makala zake zenye kuelezea nafasi ya wazee wakiislam katika ukombozi wa nchi.Je ni kweli na Kama kweli mbona historia imefichwa hatuoni sehem yoyote katka vitabu vya mashuleni!
Je ni ukweli uliofichwa au uongo uliotungwa?
Tazama video ndani ya uzi huuu: Rais Magufuli, ni wakati muafaka "Ikulu" irudishwe kwa wenyewe, Waislam
 
Back
Top Bottom