Asante nimepita hukop leo bado yapo. Nikapata muda wa kuingia ndani zaidi wananihakikishia yapo ya kutosha ila watu wanavyonunua sio muda aidha beoi itapanda au yatapungua. Eka kuanzia laki 2.5-3. Karibu sisi tumeenda kama 6 na kakikundi kanazidi kukua kila mtu anashika anazoweza.
OK! Nashukuru sana Mama Joe, nami ngoja nifanye michakato, Mungu akipenda tutajumuika huko pamoja.