Fundi mahiri wa Ujenzi
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 4,703
- 3,623
Hiyo ni bei ya heka nne zote?Hata huku kwetu kibiti mashamba yapo kuna heka nne Nzuri bei 1.8 Karibu
Hiyo ni bei ya heka nne zote?Hata huku kwetu kibiti mashamba yapo kuna heka nne Nzuri bei 1.8 Karibu
Nyie watu wa ajabu sana. Weka beiNauza heka tano, Morogoro Sehemu inaitwa Njovu, wilaya ya mvomero
Eka moja million tatu.M
Muwe mnaweka na bei
Ndiyo unapata Mkuu hata Mimi nilichukuaHiyo ni bei ya heka nne zote?
Kaka hukuona bei post iliyofuata nilisema kila heka ni tsh 1MNyie watu wa ajabu sana. Weka bei
Huko kibiti unastawisha mazao gani mkuuNdiyo unapata Mkuu hata Mimi nilichukua
Asante sana Mama Joe kwa shule yako nzuri, nami pia niko interested sana na huko, nikiwa tayari nitaomba msaada wako. Asante sanaSorry namaanisha eka moja inauzwa kwa laki mbili na nusu hadi laki laki tatu kutegemea na umbali na shamba pia
Ufuta, Tikiti, Mahindi na paipai nkHuko kibiti unastawisha mazao gani mkuu
Asante sana Mama Joe kwa shule yako nzuri, nami pia niko interested sana na huko, nikiwa tayari nitaomba msaada wako. Asante sana
Nakukumbusha kutupa mrejesho mkuu, au bado hujarudi?Wiki hii ntaenda rufiji,ikwiriri huko Kuna maeneo eka1 200,000 mpk 150000.....nkirudi toka huko ntawapa feedback
OVA
Nakukumbusha kutupa mrejesho mkuu, au bado hujarudi?
Nakukumbusha kutupa mrejesho mkuu, au bado hujarudi?
Eneo hilo si lipo chini ya mipango miji?Mashamba yanauzwa kigamboni kimbiji,
Ekari moja ni mil.5
0683775566