Wakuu natumaini kuwa wote humu hamjambo!

Naamini kabisa ukiandika jambo humu unakuwa ume uandikia ulimwengu wa Wana JF wote popote walipo ulimwenguni, Wakuu mimi natafuta marafiki wana JF wanao ishi nchi za Oman na Kuwait.

Kwanini nataka marafiki toka nchi hizo? Toka nikiwa mdogo Marehemu baba yangu alikuwa na marafiki wa barua kwa njia ya posta toka nchi tajwa, Kusema ukweli tuliishi maisha ya neema ingawa baba yangu alikuwa tu anafanya kazi za ulinzi ila asikwambie mtu ingawa sisi ni wakristo ilikuwa kila siku kuu za Eid,Pasaka, Xmass etc.
Ilikuwa ni lazima nimsindikize baba yangu western union kupokea zawadi, Kwa bahati mbaya baba yangu R.I.P. alipo fariki 2015 .hakukuwa tena na mawasiliano na familia hizo, Basi kwakuwa mambo hayo nilikuwa nikiyaona toka nikiwa mdogo moja kwa moja iliniingia akilini kuwa nchi hizo wanapatikana marafiki wa dhati kiasi ya kwamba nilitamani baba anipeleke nikulie huko kwa marafiki zake lakini Nadhani Mungu hakupenda iwe hivyo

Natanguliza shukrani kwenu wana JF

Asanteni

Mimi naishi kwa mtogole mkuu kama na mimi nitakuwa nakutumia simu used na miche ya sabuni ukawauzie wasukuma Kariakoo
 
Wakuu natumaini kuwa wote humu hamjambo!

Naamini kabisa ukiandika jambo humu unakuwa ume uandikia ulimwengu wa Wana JF wote popote walipo ulimwenguni, Wakuu mimi natafuta marafiki wana JF wanao ishi nchi za Oman na Kuwait.

Kwanini nataka marafiki toka nchi hizo? Toka nikiwa mdogo Marehemu baba yangu alikuwa na marafiki wa barua kwa njia ya posta toka nchi tajwa, Kusema ukweli tuliishi maisha ya neema ingawa baba yangu alikuwa tu anafanya kazi za ulinzi ila asikwambie mtu ingawa sisi ni wakristo ilikuwa kila siku kuu za Eid,Pasaka, Xmass etc.
Ilikuwa ni lazima nimsindikize baba yangu western union kupokea zawadi, Kwa bahati mbaya baba yangu R.I.P. alipo fariki 2015 .hakukuwa tena na mawasiliano na familia hizo, Basi kwakuwa mambo hayo nilikuwa nikiyaona toka nikiwa mdogo moja kwa moja iliniingia akilini kuwa nchi hizo wanapatikana marafiki wa dhati kiasi ya kwamba nilitamani baba anipeleke nikulie huko kwa marafiki zake lakini Nadhani Mungu hakupenda iwe hivyo

Natanguliza shukrani kwenu wana JF

Asanteni
Ukipata rafiki asiyetoa zawadi vipi? Je uliwahi ona baba anatuma zawadi?
 
Ukipata rafiki asiyetoa zawadi vipi? Je uliwahi ona baba anatuma zawadi?
Mkuu nikipata rafiki asie toa zawadi nitafurahi nitashukuru na kufurahi pia, Naamini zawadi ni matokeo ya urafiki ulio komaa sina uhakika pia kama baba alikuwa anawaomba hizoo zawadi ama walimsaidia tu kutokana na urafiki wao. asante
 
Mimi ni mama wa miaka 33 na nimejaaliwa watoto wawili, niliolewa bahati mbaya ndoa imevunjika kwasababu zilizo nje ya uwezo wetu.

Sasa nipo nalea wanangu na alhamdulillah najimudu kiasi financially. Ila kama ijulikanavyo huwezi shindana na nature, nikiwa kama mwanamke kuna wakati unamuhitaji mwanaume na siwezi fanya hivyo kwani uzinzi ni dhambi na namuomba Mungu aendelee kuniepusha na hilo.

Hivyo kwa Uzi huu nahitaji marafiki Wa kiume (naprefer kuanzia kwenye urafiki ili kuona compatibility) haswa aliyefiwa na mkewe, au divorced ambaye yeye si sababu ya uvunjifu Wa ndoa yake, au mwenye mtoto/watoto tayari, au yeyote ambaye ni father figure. Umri kuanzia 33 - 45 yrs.

Note: naprefer a responsible family man. If u think u hv the credentials pls pm me, jokes aside pls.
Umri kikwazo

Sent from my TECNO CX Air using JamiiForums mobile app
 
Mn
Mimi ni mama wa miaka 33 na nimejaaliwa watoto wawili, niliolewa bahati mbaya ndoa imevunjika kwasababu zilizo nje ya uwezo wetu.

Sasa nipo nalea wanangu na alhamdulillah najimudu kiasi financially. Ila kama ijulikanavyo huwezi shindana na nature, nikiwa kama mwanamke kuna wakati unamuhitaji mwanaume na siwezi fanya hivyo kwani uzinzi ni dhambi na namuomba Mungu aendelee kuniepusha na hilo.

Hivyo kwa Uzi huu nahitaji marafiki Wa kiume (naprefer kuanzia kwenye urafiki ili kuona compatibility) haswa aliyefiwa na mkewe, au divorced ambaye yeye si sababu ya uvunjifu Wa ndoa yake, au mwenye mtoto/watoto tayari, au yeyote ambaye ni father figure. Umri kuanzia 33 - 45 yrs.

Note: naprefer a responsible family man. If u think u hv the credentials pls pm me, jokes aside pls.
Mngekua mnasema mahali mnapoishi(taja ata mkoa tu) ingekua poa sana na ingekusaidia kupata mume/rafiki ambaye ungeweza kumchunguza kwa karibu zaidi
Haiwezekani mimi niwe Nanjilinji uku wew upo Karagwe uko afu tuanzie Uhusiano. For a shortrun naweza kusafiri kutoka Nanjilinji kukufuata uko Karagwe lakini amini nakuambia Uhusiano huo hauwezi kudumu kwa sababu "Fimbo ya mbali haiui nyoka"
 
Natafuta binti alie serious na maisha awe rafiki yangu.
Sifa:
Umri usizidi miaka 30
Asiwe mlevi
Dini yoyote
Elimu ya chuo
Matured

Mimi ni mrefu wa wastani, miaka 34 na nimeajiriwa pia nafanya mishe mishe zangu binafsi. Napendelea kusoma vitabu, kusafiri, kuangalia mpira, kuogelea na movies. Pia napenda kujaribu vitu vipya na situmii kilevi chochote.

Karibuni dm.
 
Mko wazima?

Natafuta rafiki wa kubadilishana mawazo. Nimeboeka hivi. Sina vigezo maalum wala nini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom