kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,011
- 11,942
Huyu atakuwa Zanzibar, maana huko ndio wanapenda kupewa kuliko kutafutaUnaishi maeneo gani boss?
Huyu atakuwa Zanzibar, maana huko ndio wanapenda kupewa kuliko kutafutaUnaishi maeneo gani boss?
Mkuu nakushukuru kwa ushauriOk kwa msaada tu kuna forum za nchi hizo pia nafikiri.
Kuna Instagram, Facebook etc tumia hizo platform kupata marafiki kwenye hizo nchi unazohitaji.
Ila kuwa makini usipende sana kupokea pokea.
Wakuu natumaini kuwa wote humu hamjambo!
Naamini kabisa ukiandika jambo humu unakuwa ume uandikia ulimwengu wa Wana JF wote popote walipo ulimwenguni, Wakuu mimi natafuta marafiki wana JF wanao ishi nchi za Oman na Kuwait.
Kwanini nataka marafiki toka nchi hizo? Toka nikiwa mdogo Marehemu baba yangu alikuwa na marafiki wa barua kwa njia ya posta toka nchi tajwa, Kusema ukweli tuliishi maisha ya neema ingawa baba yangu alikuwa tu anafanya kazi za ulinzi ila asikwambie mtu ingawa sisi ni wakristo ilikuwa kila siku kuu za Eid,Pasaka, Xmass etc.
Ilikuwa ni lazima nimsindikize baba yangu western union kupokea zawadi, Kwa bahati mbaya baba yangu R.I.P. alipo fariki 2015 .hakukuwa tena na mawasiliano na familia hizo, Basi kwakuwa mambo hayo nilikuwa nikiyaona toka nikiwa mdogo moja kwa moja iliniingia akilini kuwa nchi hizo wanapatikana marafiki wa dhati kiasi ya kwamba nilitamani baba anipeleke nikulie huko kwa marafiki zake lakini Nadhani Mungu hakupenda iwe hivyo
Natanguliza shukrani kwenu wana JF
Asanteni
Mkuu swali hilo nimeshalitolea majibu
Hapo unawaza kutumiwa zawadi tu, vipi nanyi mliwatumia zawadi gani?
Asante mkuu.Mimi naishi kwa mtogole mkuu kama na mimi nitakuwa nakutumia simu used na miche ya sabuni ukawauzie wasukuma Kariakoo
Ukipata rafiki asiyetoa zawadi vipi? Je uliwahi ona baba anatuma zawadi?Wakuu natumaini kuwa wote humu hamjambo!
Naamini kabisa ukiandika jambo humu unakuwa ume uandikia ulimwengu wa Wana JF wote popote walipo ulimwenguni, Wakuu mimi natafuta marafiki wana JF wanao ishi nchi za Oman na Kuwait.
Kwanini nataka marafiki toka nchi hizo? Toka nikiwa mdogo Marehemu baba yangu alikuwa na marafiki wa barua kwa njia ya posta toka nchi tajwa, Kusema ukweli tuliishi maisha ya neema ingawa baba yangu alikuwa tu anafanya kazi za ulinzi ila asikwambie mtu ingawa sisi ni wakristo ilikuwa kila siku kuu za Eid,Pasaka, Xmass etc.
Ilikuwa ni lazima nimsindikize baba yangu western union kupokea zawadi, Kwa bahati mbaya baba yangu R.I.P. alipo fariki 2015 .hakukuwa tena na mawasiliano na familia hizo, Basi kwakuwa mambo hayo nilikuwa nikiyaona toka nikiwa mdogo moja kwa moja iliniingia akilini kuwa nchi hizo wanapatikana marafiki wa dhati kiasi ya kwamba nilitamani baba anipeleke nikulie huko kwa marafiki zake lakini Nadhani Mungu hakupenda iwe hivyo
Natanguliza shukrani kwenu wana JF
Asanteni
Mkuu nikipata rafiki asie toa zawadi nitafurahi nitashukuru na kufurahi pia, Naamini zawadi ni matokeo ya urafiki ulio komaa sina uhakika pia kama baba alikuwa anawaomba hizoo zawadi ama walimsaidia tu kutokana na urafiki wao. asanteUkipata rafiki asiyetoa zawadi vipi? Je uliwahi ona baba anatuma zawadi?
Umri kikwazoMimi ni mama wa miaka 33 na nimejaaliwa watoto wawili, niliolewa bahati mbaya ndoa imevunjika kwasababu zilizo nje ya uwezo wetu.
Sasa nipo nalea wanangu na alhamdulillah najimudu kiasi financially. Ila kama ijulikanavyo huwezi shindana na nature, nikiwa kama mwanamke kuna wakati unamuhitaji mwanaume na siwezi fanya hivyo kwani uzinzi ni dhambi na namuomba Mungu aendelee kuniepusha na hilo.
Hivyo kwa Uzi huu nahitaji marafiki Wa kiume (naprefer kuanzia kwenye urafiki ili kuona compatibility) haswa aliyefiwa na mkewe, au divorced ambaye yeye si sababu ya uvunjifu Wa ndoa yake, au mwenye mtoto/watoto tayari, au yeyote ambaye ni father figure. Umri kuanzia 33 - 45 yrs.
Note: naprefer a responsible family man. If u think u hv the credentials pls pm me, jokes aside pls.
Mngekua mnasema mahali mnapoishi(taja ata mkoa tu) ingekua poa sana na ingekusaidia kupata mume/rafiki ambaye ungeweza kumchunguza kwa karibu zaidiMimi ni mama wa miaka 33 na nimejaaliwa watoto wawili, niliolewa bahati mbaya ndoa imevunjika kwasababu zilizo nje ya uwezo wetu.
Sasa nipo nalea wanangu na alhamdulillah najimudu kiasi financially. Ila kama ijulikanavyo huwezi shindana na nature, nikiwa kama mwanamke kuna wakati unamuhitaji mwanaume na siwezi fanya hivyo kwani uzinzi ni dhambi na namuomba Mungu aendelee kuniepusha na hilo.
Hivyo kwa Uzi huu nahitaji marafiki Wa kiume (naprefer kuanzia kwenye urafiki ili kuona compatibility) haswa aliyefiwa na mkewe, au divorced ambaye yeye si sababu ya uvunjifu Wa ndoa yake, au mwenye mtoto/watoto tayari, au yeyote ambaye ni father figure. Umri kuanzia 33 - 45 yrs.
Note: naprefer a responsible family man. If u think u hv the credentials pls pm me, jokes aside pls.
Je ushampata mtu Mimi nipo dar na ni mtu mzima na sina mke kwani alitangulia mbeley ya haki je wasemaje. Nitafute kwa namba 0717667348Huy mama ni wife material kabisa, njoo kwangu kama hujapata
Ili umchakateWe ni me au Ke kama ni Ke ni pm tubadilshane contact tuwe tunachati
Natafuta mtu asiye busy..aliyeboreka nimfunze ushirikina bureMko wazima?
Natafuta rafiki wa kubadilishana mawazo. Nimeboeka ivi.. Sina vigezo maalum wala nn
Lol ushirikina nehi..Natafuta mtu asiye busy..aliyeboreka nimfunze ushirikina bure
Jr