Me nko kwaajili yaww mkuu...



Mimi nakutaka rafiki wewe. Ushaambiwa mwisho miaka 29 maana umri huo ndio mnaweza kuchatishana mpaka mkome![]()
Tatizo nikuwahiwa mkuu...
Sitaki35 hutaki?
Unatafuta rafiki wa kiume au mchumba ?Mimi ni msichana wa miaka 20's nina tafuta rafiki wa kiume mwenye miaka 20 -29 asie na mke.
Dah! Hii bahati imetupita kabisa sisi wa 30'sMimi ni msichana wa miaka 20's nina tafuta rafiki wa kiume mwenye miaka 20 -29 asie na mke.
Hahaahahahahaaah!