Natafuta rafiki wa kike wa mtandaoni

Natafuta rafiki wa kike wa mtandaoni

sasa ntapataje bando nchati nawewe huku neibaaa
Ulipendekeza, nikimpata rafiki asiye na lengo la monetary benefits nilete marejesho, Taarifa NI kwamba, Saa 11 jioni Nashukuru, ombi langu limefanikiwa nimempata rafiki, nitajitahidi urafiki wetu udumu.
Kwa kuzingatia Sheria ya faragha na kanuni za jamii forum, sitamtaja. Ahsanteni Sana Kwa Maoni na ushauri
 
Ulipendekeza, nikimpata rafiki asiye na lengo la monetary benefits nilete marejesho, Taarifa NI kwamba, Saa 11 jioni Nashukuru, ombi langu limefanikiwa nimempata rafiki, nitajitahidi urafiki wetu udumu.
Kwa kuzingatia Sheria ya faragha na kanuni za jamii forum, sitamtaja. Ahsanteni Sana Kwa Maoni na ushauri
Barikiweni sanaaa na mkadumu Amina
 
Wenzio humu walisema wanachat na akili mnemba. Hebu ijaribu🤣🤣
 
Wenzio humu walisema wanachat na akili mnemba. Hebu ijaribu🤣🤣
NImempata Rafiki mwenye vigezo na sifa nilizohitaji, tunakwenda vizuri, tumeafikiana kusonga mbele.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom