Muimba SINGELI
JF-Expert Member
- Dec 25, 2024
- 4,211
- 10,840
Umechelewa sana kulijua hili, Marry ni mpenzi wangu na mke wangu mtarajiwa.
Umechelewa sana kulijua hili, Marry ni mpenzi wangu na mke wangu mtarajiwa.
Nmefanyaje dipre?Sasa umri wa nini kwenye urafiki jamani🙆♂️🙆♂️
Usiwe kama Half american
MIe hapa ila urafiki tu ila usinitoe sadaka nategemewa na Tate Mkuu nani atampikia sasaKWEMA WANAJUKWAA.
Naamini JamiiForums kuna genuine ladies wasio na mambo mengi, watulivu, wasikivu, wacheshi, wenye urafiki wa kweli.
Ningependa ujitokeze unaewiwa kutaka tuwe marafiki, umri ni miaka 20 hadi 29. Mkazi wa popote nchini, elimu yoyote, kazi yoyote halali.
Natanguliza shukrani kwenu, nitafurahi kupata marafiki.
Ahsante!
Umetemwa huyu kijana ni muhuniNi urafiki tu au kuna jingine unaliwant??
Wengi humu wanataka urafiki ukimfuata wanakueletea ujinga ujinga tuUmejuaje nakutoa sadaka!
UshirikinaUjinga upi, nidodose kidogo.
Hapo nipo naushauri mzuri sana sana karibu😳 duh, nahitaji rafiki wa kuongea mawili matatu kuhusu maisha, ushirikina hapana mkuu.
Mwite na Mama NdegeAsante nitakaribia soon, leo mapema.
HKunaga hii kituMkuu we si ulikuaga kataa ndoa tena vikao unakaa siti za mbele!
Hataki kasema yeye kaokoka anasali TAGMwite na Mama Ndege
Itakuwa maana mpaka rais wa chama Intelligent businessman kabwaga manyanga, wanachama wanajitoa mmoja mmoja...!!!HKunaga hii kitu
Ninge hama kataa ndoa, Shida Pyaar hajibu pm zangu!Itakuwa maana mpaka rais wa chama Intelligent businessman kabwaga manyanga, wanachama wanajitoa mmoja mmoja...!!!
Ume msahau SelikavuPyaar kwanini unakuwa mkorofi, mjibu intel apate amani ya moyo
Emergency Rescue Team mnahitajika
Edo kissy
Razorblade
dosho12