Ahmet
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 1,537
- 3,404
Assalamu alaykum Wana jamiiforums
Bila kupoteza muda, baada ya kupitia mengi katika maisha ya uhusiano sasa naona ni muda muafaka kwangu kurudi katika maisha ya kutafuta mke.
Sifa.
1. Asiwe katika mahusiano
2. Dini: Awe muislamu, mchamungu, mwenye kuvaa hijab ya kisheria na mfanya ibada.
3. Umri: kuanzia miaka 22-26
4. Rangi: yoyote lakini ikiwa chocolate itapendeza zaidi.
5. Shape: mwembamba i.e English figure (nikikuoa Alaf ukaanza kunenepa, aisee utafanya mazoezi mpaka basi😄, jokes)
6. Urefu: asiwe mrefu sana au mfupi sana
7. Location: awe anaishi mkoa wowote Tanzania, lakini akiwa mkazi wa mbeya mjini itapendeza sana.
8. Elimu: kuanzia form four na kuendelea, lakini akiwa na taaluma flani itapendeza zaidi.
sifa zangu
Mimi ni muislamu,
Nina miaka 28,
Mrefu kiasi,
Nina hofu ya Mungu,
Naishi Mbeya,
Ni muajiriwa serikalini.
Asanteni,
cc. To yeye
Bila kupoteza muda, baada ya kupitia mengi katika maisha ya uhusiano sasa naona ni muda muafaka kwangu kurudi katika maisha ya kutafuta mke.
Sifa.
1. Asiwe katika mahusiano
2. Dini: Awe muislamu, mchamungu, mwenye kuvaa hijab ya kisheria na mfanya ibada.
3. Umri: kuanzia miaka 22-26
4. Rangi: yoyote lakini ikiwa chocolate itapendeza zaidi.
5. Shape: mwembamba i.e English figure (nikikuoa Alaf ukaanza kunenepa, aisee utafanya mazoezi mpaka basi😄, jokes)
6. Urefu: asiwe mrefu sana au mfupi sana
7. Location: awe anaishi mkoa wowote Tanzania, lakini akiwa mkazi wa mbeya mjini itapendeza sana.
8. Elimu: kuanzia form four na kuendelea, lakini akiwa na taaluma flani itapendeza zaidi.
sifa zangu
Mimi ni muislamu,
Nina miaka 28,
Mrefu kiasi,
Nina hofu ya Mungu,
Naishi Mbeya,
Ni muajiriwa serikalini.
Asanteni,
cc. To yeye