Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,059
- 15,529
Ngoja niruke nalo boss
Zaga hilo mkuu hapana achia gap you know!
Zaga hilo mkuu hapana achia gap you know!
Madam uzi huu umeutawala wewe tu! Halafu mbishii!
Kwa mfano uwe na sura ya avatar yako, mzuri kama malaika, uje umzurulishe mwanaume kwenye usafiri, mahoteli, sijui kutalii, anakuwa zoba tu kakuangalia na wala haumii, domozege wa kutupwa kakuangalia tu kama dadake wa tumbo1!
Tuache masihara, kwanza utamdharau na kuanza kumshukushuku.
Hapo lazima kuwe na maswali ya msingi: mnaleana ili iweje? Mkifanya kuna ubaya gani? Msipofanya nini faida yake na nini hasara yake, etc etc. Sasa yote hayo ya nini?
Kiunganishi kikubwa cha mwanamke na mwanaume wawapo pa1 ni mapenzi na siyo siasa.
Tena hapo unauona upendo wa kweli unaibuka kutoka ulikojificha na kutawala.
Hivi mbuzi na chui wanaweza wakasafirishwa katika cage1 raha mustarehe bila mihemuko ya kutafunana, ulishawahi kuona ama kusikia?
Me siwezi.
Ndio ndoto ya karibu kila mwanamke duniani...karibu aslimia 98Kwanini wanazitafuta?
Rika ninalomaanisha ni kuwa compatible.. its seems uko very compatible with me!Unajuaje??
Ndio ndoto ya karibu kila mwanamke duniani...karibu aslimia 98
As In??Rika ninalomaanisha ni kuwa compatible.. its seems uko very compatible with me!
Hapana ila naamini kwa unavyotaka wewe itawezekana, maana najiamini sina tabia chafu. Si kutalii tu na kurudi.Wewe ni mwanamke??
Let get advanced in talks.. maybe we wanna achieve something!As In??
Madam, lini jaribu la ibilisi binadamu alilishinda, kwani Adam na Hawa walikuwa wajinga?Nimeyaelewa hayo maneno mawili ya mwisho tu "me siwezi" huko kwengine kote umeandika pumba ulitakiwa ujisemee nafsi yako wewe kwamba hauwezi ila siyo kulazimisha kila mwanaume awe kama wewe na kila kitu kiwe kama unavyoamini binafsi mimi mwanaume ambaye ataweza hivyo ndo nitamheshimu sanaaaaa maana atakuwa ameweza kukizuia kile kitu ambacho ndicho udhaifu wa wanaume wengi hivyo atakuwa amekwepa udhaifu
Halafu unasema tu kwani wakifanya kuna ubaya gani? Haujui kwamba bongo mwanamke anayefanya na mwanaume yeyote anaonekana malaya ila mwanaume anayefanya na mwanamke yeyote anaonekana kidume? Sasa nani anataka kuonekana malaya? Siku mkiacha hiyo mitazamo ndo mtaona jinsi wanawake watakavyokuwa wanajiachia don't blame it on us blame it on your traditions
Hapana ila naamini kwa unavyotaka wewe itawezekana, maana najiamini sina tabia chafu. Si kutalii tu na kurudi.
Nani muhaya ?Wahaya bana kwa mbwembwe
Kwa kweli sinaga urafiki na wanaume wanaodhalilisha wanawakeLet get advanced in talks.. maybe we wanna achieve something!
Kitu cha threesome hakikwepeki hapo.Mm nahitaji tuwe Watatu yani uje na rafiki yko muwe wawili gharama zote juu yangu
Demisi unamwachia nani?Miss Natafuta I might be the right candidate
Ndo umechomoa hivo au!Kwa kweli sinaga urafiki na wanaume wanaodhalilisha wanawake
Vigezo ninavyo isipokuwa kimoja tuu... hela!
Inatakiwa kiasi gani eti!
Kwani haujaona huo mfano wangu huko juu? Mbona nimeshawahi kufanya hayo na wanaume zaidi ya watatu katika mazingira na vipindi tofauti tena wote marijali na kati yao hakuna aliyenifanya chochote na sasa hivi wameoa na wana watoto na mimi nimeolewa na nina watoto kila mtu na maisha yake ndo maana nikasema usilazimishe kila kitu kiwe kama unavyoamini au unavyotaka weweMadam, lini jaribu la ibilisi binadamu alilishinda, kwani Adam na Hawa walikuwa wajinga?
Kwanza maelezo yako ni ya kinadharia tu, kwenye uhalisia hayapo.
Na hautakuja pata mwanaume wa kumjaribu namna hiyo ili kukudhi utafiti wako, hayupo, labda awe na lengo la kulelewa.
Hapo utampata wa kulala naye hata kila siku bila chochote, maana wanaume sikuhizi tumebadilika na kuwa na makundi, wengine wakiitwa wanaume suruali!
Hapana hata mimi sitaki mwanaume nataka mwanamke mwenzangu maana lengo langu si kugegedana bali ni kutalii
Hivyo YaaniNdo umechomoa hivo au!
Kwani tukienda wote ni lazima kugegedana?
Tunaweza kutembea Kama kampani bila hayo mambo
Hiyo ni ziada baada ya kupendezewa