Natafuta partner wa kwenda zanzibar

Natafuta partner wa kwenda zanzibar

Kama ndio hivyo tena tafuta tu sponsor mwingine mimi basi.[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Usinifanyie hivyo mimi jamani
 
Maisha magumu bna ila we live once atii
Mimi bwana sina dhambi nyingi kiivo,sinywi pombe Wala sigegedwi kwaiyo nataka nienjoy maisha kwa kusafiri.
Sasa nataka nianze safari zangu hapa hapa nchini.
Natafuta rafiki wa kusafiri nae cause I want to try new things as well,new ideas,new friends I hope mmenielewa wakuu.
Sasa kama unaona una sifa tuwasiliane.hela ninazo ila uwe na hela. Na usiwe na ndoa sitaki stress mie japo sio kwamba nakuitaji kimapenzi.
Ila jinsia ya kike nayo pia inakaribishwa
Hapana matata check me plz ...B.I.G
 
Kwa nini uweke avatar inayokuzidi umri? Kumbe jf wadogo zetu wengi.sikujua uko mdogo hivi😁

Afu huwa najiuliza kwa nini watu wa Jf wanaweka avatar ambayo sio zao au ambazo hawafananii? 😁😁😁😁nawaza tu.

Wewe hiyo ni miguu yako?
 
Maisha magumu bna ila we live once atii
Mimi bwana sina dhambi nyingi kiivo,sinywi pombe Wala sigegedwi kwaiyo nataka nienjoy maisha kwa kusafiri.
Sasa nataka nianze safari zangu hapa hapa nchini.
Natafuta rafiki wa kusafiri nae cause I want to try new things as well,new ideas,new friends I hope mmenielewa wakuu.
Sasa kama unaona una sifa tuwasiliane.hela ninazo ila uwe na hela. Na usiwe na ndoa sitaki stress mie japo sio kwamba nakuitaji kimapenzi.
Ila jinsia ya kike nayo pia inakaribishwa

Tushafika huku?

Damnnnnnn
 
Ukihitaji tours ndani ya Zanzibar Kama prison island, Safari blue, Sand bank, Mnemba for snorkeling and diving n.k ni check.
Maisha magumu bna ila we live once atii
Mimi bwana sina dhambi nyingi kiivo,sinywi pombe Wala sigegedwi kwaiyo nataka nienjoy maisha kwa kusafiri.
Sasa nataka nianze safari zangu hapa hapa nchini.
Natafuta rafiki wa kusafiri nae cause I want to try new things as well,new ideas,new friends I hope mmenielewa wakuu.
Sasa kama unaona una sifa tuwasiliane.hela ninazo ila uwe na hela. Na usiwe na ndoa sitaki stress mie japo sio kwamba nakuitaji kimapenzi.
Ila jinsia ya kike nayo pia inakaribishwa
 
Siyo kwa wanaume wa bongo wanaowaza chini muda wote mnakubaliana vizuri kwamba hakuna kugegedana yeye anawaza umemwambia kwamba tutagegedana na mkifika huko anaanza usumbufu yani wanaume wa bongo wamekariri kwamba hakuna mkate mgumu mbele ya chai
Hakuna jambo gumu kama kulala na mwanamke kitanda kimoja alafu asikupe! Tena bora awe mkeo ambaye umemzoea... Akiwa 'ingizo jipya' ni taabu sana... Ilishawahi nitokea... Niliteseka sana usiku ule sitakuja kusahau maishani mwangu... Since then huwa naelewa wanandoa wanaoenda mahakamani kudai kunyiwa unyumba na wenzi wao ni nini wanapitia...
 
Wanaume wengi mnajiendekeza tu
Hakuna jambo gumu kama kulala na mwanamke kitanda kimoja alafu asikupe! Tena bora awe mkeo ambaye umemzoea... Akiwa 'ingizo jipya' ni taabu sana... Ilishawahi nitokea... Niliteseka sana usiku ule sitakuja kusahau maishani mwangu... Since then huwa naelewa wanandoa wanaoenda mahakamani kudai kunyiwa unyumba na wenzi wao ni nini wanapitia...
 
Back
Top Bottom