Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,342
- 201,602
Hapana hata mimi sitaki mwanaume nataka mwanamke mwenzangu maana lengo langu si kugegedana bali ni kutalii
Hata mwanamme mbona inawezekana Mkuu
Hapana hata mimi sitaki mwanaume nataka mwanamke mwenzangu maana lengo langu si kugegedana bali ni kutalii
Ukipata Rafiki wa kiume na aka maintain urafiki kweli itakuwa safi sana, maana wabongo wanapenda sana ku update na kutoka nje ya rules
Umeona enh?
Kumbe unatafuta kuliwa tigoPakoje mkuu? Nasikia Kuna waarabu kama uko Dubai vile
KusaganaHapana hata mimi sitaki mwanaume nataka mwanamke mwenzangu maana lengo langu si kugegedana bali ni kutalii
Kusagana
Siyo kwa wanaume wa bongo wanaowaza chini muda wote mnakubaliana vizuri kwamba hakuna kugegedana yeye anawaza umemwambia kwamba tutagegedana na mkifika huko anaanza usumbufu yani wanaume wa bongo wamekariri kwamba hakuna mkate mgumu mbele ya chaiHata mwanamme mbona inawezekana Mkuu
Sijuagi shida inakuwaga nini kwanini msisimamie kwenye makubaliano kwamba ni Travel plan sio beyond that
Siyo kwa wanaume wa bongo wanaowaza chini muda wote mnakubaliana vizuri kwamba hakuna kugegedana yeye anawaza umemwambia kwamba tutagegedana na mkifika huko anaanza usumbufu yani wanaume wa bongo wamekariri kwamba hakuna mkate mgumu mbele ya chai
Eti kila mwanamke ni sitaki nataka kumbe wengine tuna misimano thabiti ndo maana naona ili kuepuka hayo yote ni bora niwe na mwanamke mwenzangu au wanawake wenzangu ambao najua hatutafanya chochote zaidi ya kupiga umbea tu nikienda na mwanaume basi labda ni mume wangu ila siyo mwanaume yeyote tu
Nimetania tu..am not 22 years oldKwa nini uweke avatar inayokuzidi umri? Kumbe jf wadogo zetu wengi.sikujua uko mdogo hivi[emoji16]
Afu huwa najiuliza kwa nini watu wa Jf wanaweka avatar ambayo sio zao au ambazo hawafananii? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]nawaza tu.
Kwani huwezi kula bata na mwanaume bila kugegedana??Hapana hata mimi sitaki mwanaume nataka mwanamke mwenzangu maana lengo langu si kugegedana bali ni kutalii
Nakuelewa sana kuhusu baadhi ya wanaume kuvunja makubaliano yao.
Yeah izo option ndiyo nzuri za kuondoa sintofahamu Either wanawake wenzio au partner wako,
Kwani huwezi kula bata na mwanaume bila kugegedana??
Ofcourse bhana ni ngumu..Ndio mimi naweza ila yeye mwanaume ataweza?
No I don't have a baby,am still virginWill you go with your young baby? Is it a family thing?