No I am saying this from personal experience
Madam uzi huu umeutawala wewe tu! Halafu mbishii!
Kwa mfano uwe na sura ya avatar yako, mzuri kama malaika, uje umzurulishe mwanaume kwenye usafiri, mahoteli, sijui kutalii, anakuwa zoba tu kakuangalia na wala haumii, domozege wa kutupwa kakuangalia tu kama dadake wa tumbo1!
Tuache masihara, kwanza utamdharau na kuanza kumshukushuku.
Hapo lazima kuwe na maswali ya msingi: mnaleana ili iweje? Mkifanya kuna ubaya gani? Msipofanya nini faida yake na nini hasara yake, etc etc. Sasa yote hayo ya nini?
Kiunganishi kikubwa cha mwanamke na mwanaume wawapo pa1 ni mapenzi na siyo siasa.
Tena hapo unauona upendo wa kweli unaibuka kutoka ulikojificha na kutawala.
Hivi mbuzi na chui wanaweza wakasafirishwa katika cage1 raha mustarehe bila mihemuko ya kutafunana, ulishawahi kuona ama kusikia?
Me siwezi.