WanaJF, kwa hapo mjini Dar es Salaam, nitapata wapi ndoano ya kuvulia samaki ? Ninaenda kutembea mahali ambapo mto una samaki wengi sana na mimi napenda sana samaki. Nataka nije nivue mwenyewe, tatizo langu ni ndoano tu. Help me where to get it
Nenda ferry(Kivukoni) kawaulize wavuvi watakuelekeza mahali pakuipata hiyo naniu hata chambo pia watakuelekeza inapopatikana mzee wangu
WanaJF, kwa hapo mjini Dar es Salaam, nitapata wapi ndoano ya kuvulia samaki ? Ninaenda kutembea mahali ambapo mto una samaki wengi sana na mimi napenda sana samaki. Nataka nije nivue mwenyewe, tatizo langu ni ndoano tu. Help me where to get it
mkuu nenda mlimani city Game super mkt mwisho upande wa kushoto karibia na vifaa vya mazoezi zipo za kisasa kama tunazoziona kwenye michezo super sport, but sikuulizia beiWanaJF, kwa hapo mjini Dar es Salaam, nitapata wapi ndoano ya kuvulia samaki ? Ninaenda kutembea mahali ambapo mto una samaki wengi sana na mimi napenda sana samaki. Nataka nije nivue mwenyewe, tatizo langu ni ndoano tu. Help me where to get it
mkuu nenda mlimani city Game super mkt mwisho upande wa kushoto karibia na vifaa vya mazoezi zipo za kisasa kama tunazoziona kwenye michezo super sport, but sikuulizia bei