Habari za hapa.
Natafuta Manager wa shamba lipo Kigamboni Dar es salaam ambapo tumeanza kufuga mbuzi na baadae bata kisha samaki na kadhalika. Tutakuwa na kilimo aina tofauti ila hasa cha chakula cha wanyama wetu.
Anahitajika mtu aliye maliza form 4 na zaidi. Awe na upeo kwenye maswala ya kilimo, ufugaji na usimamizi wa miradi. Awe na heshima na muda, watu na wanyama.
Mwepesi wa kutafuta elimu ikiwemo seminar au mtandaoni. Awe tayari kuishi shamba Kigamboni.
Kwa taarifa zaidi wasiliana na mimi kwanza kupitiya hapa.
Asanteni sana.
View attachment 2579043View attachment 2579044View attachment 2579045View attachment 2579048
Natafuta Manager wa shamba lipo Kigamboni Dar es salaam ambapo tumeanza kufuga mbuzi na baadae bata kisha samaki na kadhalika. Tutakuwa na kilimo aina tofauti ila hasa cha chakula cha wanyama wetu.
Anahitajika mtu aliye maliza form 4 na zaidi. Awe na upeo kwenye maswala ya kilimo, ufugaji na usimamizi wa miradi. Awe na heshima na muda, watu na wanyama.
Mwepesi wa kutafuta elimu ikiwemo seminar au mtandaoni. Awe tayari kuishi shamba Kigamboni.
Kwa taarifa zaidi wasiliana na mimi kwanza kupitiya hapa.
Asanteni sana.
View attachment 2579043View attachment 2579044View attachment 2579045View attachment 2579048