Natafuta mwanaume wa kunioa

Natafuta mwanaume wa kunioa

Habari wakuu
Natafuta mwanaume aliemaliza ujana awe tayar kwa ndoa
Sifa zangu
Miaka 33
Kabila mchaga
Dini Mkristo
Sina mtoto
Naishi Dsm
Kazi Biashara
SIfa za mwanaume
Miaka 35 -45
Dini Mkristo
Watoto wasizid 2 km atakua nao
Awe na kipato halali inamaana awe anajishughulisha
Makazi popote Tanzania akiwa Dar na mikoa
ya jiran itapendeza zaidi
NB: Naomba km huna sifa tajwa hapo juu usije pm tafadhali asanteni
Upo tayari kuwa mke wa tatu?
 
Sizani kama kuna mtu atakubali kuoa mbibi wa miaka yako
 
Kwa umri huo lazima tujiulize ata-offer nini kwenye ndoa? Sio kuvaa vibana tumbo na croptop aonekane binti mdogo wa 2005 kumbe ni mshangazi wa 1999
Kukuzalia na kukulelea watoto watakaoitwa kwa jina lako pamoja na kukulea wewe unafikiri ni jambo dogo!!!
 
Kwani huyu mleta mada kaenda wapi? Nyie mmeshamuona huko..?🙄 Au ameshapata?
 
we siulikuwa unawabeza wavaa mashati ya vitengee eti washamba? unaonaje ukomae na masharobaro tu.
 
Ukikosa kabisa, nipo tayari kukupa kampani ya hapa na pale.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom