Natafuta mwanaume wa kunioa

Natafuta mwanaume wa kunioa

Habari wakuu
Natafuta mwanaume aliemaliza ujana awe tayar kwa ndoa
Sifa zangu
Miaka 33
Kabila mchaga
Dini Mkristo
Sina mtoto
Naishi Dsm
Kazi Biashara
SIfa za mwanaume
Miaka 35 -45
Dini Mkristo
Watoto wasizid 2 km atakua nao
Awe na kipato halali inamaana awe anajishughulisha
Makazi popote Tanzania akiwa Dar na mikoa
ya jiran itapendeza zaidi
NB: Naomba km huna sifa tajwa hapo juu usije pm tafadhali asanteni
Njoo pm mama lao
 
Hujamalizia.
Mchaga wa eneo gani?
Figure namba 8, au kiroba?
 
Kila la kheri Manka, ila usisahau kupima "waya" au "malale" pindi ukimpata mtu.
Usikubali mtu aje, akudinye hajakuchumbia, watakuachia manyoya.
 
Miaka 33 ni umri mzuri, ambapo mwanamke anakuwa amepata ufahamu wa kutosha kuhusu ndoa, maisha na kila kitu... Ingawa mimi si mmoja wapo, ungekuwa tayari kimawazo au kutarajia kupata na kulea watoto haraka haraka, endapo neema ya Mungu ipo.. Ni Hayo....
 
33 yrs mwanamke hujaolewa? Jua linaanza kuzama, pambana hata boda akuoe
 
Kwanini wa miaka 23 huwa hawatafuti wa kuwaoa wanasubiri hadi 30+
 
Wasalam

Wakuu hii ni seriously issue kama una mdogo wako wa kike hakikisha hasomi an kamaliza shule na ni mzuri pia anajitambua..

Anaweza kufanya biashara kama
Kuuza Vijora ofisini
Uwakala
Stationary

Naweza kukukaribisha umri 18-23...

Hiki kigezo cha umri zingatia sana sana

Hii ni ofa ambayo natoa kwa week moja tuu ikipita sitaki mtu anisumbue PM...

Kuhusu kulala kula na nk mimi ntashughulika...
Atalala kwangu...
Atakula kwangu....

Na hapo unaweza niita shemeji yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom