Natafuta mwanaume Dodoma

Natafuta mwanaume Dodoma

Kipa hayupo golini . Mamende mnakaribishwa. Papai hili likiwa kwenye moja na mbili lina IDs kadhaa humu ndani
Acha makasiriko na wewe, IDs za nini? Ili iweje shoga angu? Mbona una wivu?? Punguza mihemko tafuta pesa
 
Kama ww ni mwanaume una stress za mapenzi, kazi au familia naomba tukutane nikufariji tulewe tupate tabasamu jipya.

Usiri ni muhimu, so unaweza kuwa huru na mimi kusema chochote usiumie mwenyewe moyoni usije ukafa mapema jamani.

Wanaume mnauguliaga ndani maumivu so nipo kwa ajili ya kuponya maumivu yako ya ndani, sipendi kuona ukiteseka kwa stress wakati mimi nipo.

Nipo rikizo kwa sasa so karibu tupeane faraja.

Wako mtiifu
Tundazuri
Bado hujazidiwa. Ukizidiwa utatafuta hata Ntwara mwanangu. Mapenji hayachagui
 
Kama ww ni mwanaume una stress za mapenzi, kazi au familia naomba tukutane nikufariji tulewe tupate tabasamu jipya.

Usiri ni muhimu, so unaweza kuwa huru na mimi kusema chochote usiumie mwenyewe moyoni usije ukafa mapema jamani.

Wanaume mnauguliaga ndani maumivu so nipo kwa ajili ya kuponya maumivu yako ya ndani, sipendi kuona ukiteseka kwa stress wakati mimi nipo.

Nipo rikizo kwa sasa so karibu tupeane faraja.

Wako mtiifu
Tundazuri
Njoo in box
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom